Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

"nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu " Duuuu!! Nyie ndio mnakamliwa pesa na mmeshapumbazwa hamuoni kitu.

Soma habari zake:
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Joe Devie wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Huyo ndiye Nabii!!! anayetaka tuchague kiongozi tunayemtaka
Ha ha haaa ..
Hivi humu JF hakuna mrembo ambae anaweza kunitengenezea hiyo juice maalum kama aliyokuwa anapewa nabii Geo?
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Nabii wa hao wanaomsikiliza tumemwona Nabii Tito atakuwa huyo aende zake Watanzania sio Wapumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780

Hapo hachanganyi siasa na dini?
 
Mungu ampe maisha marefu nabii wa ukweli
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu " Duuuu!! Nyie ndio mnakamliwa pesa na mmeshapumbazwa hamuoni kitu.

Soma habari zake:
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Joe Devie wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Huyo ndiye Nabii!!! anayetaka tuchague kiongozi tunayemtaka
Askofu huyu yuko vizuri sip hao kinashoo

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni

Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki

Madhabahu imetamka nani apinge


USSR
View attachment 1403780
Huyu mchumia tumbo anatufundisha mtu wa kumchagua? Tapeli linalowaibia waumini wake. Kama si mwanasiasa anahangaika nini na Magufuli? Anampigia debe kwa nini?
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom