"Nabii Josephati Mwingira Aolewa" - NYAKATI

"Nabii Josephati Mwingira Aolewa" - NYAKATI

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,988
Wana JF,

Chanzo gazeti la NYAKATI Jumapili.

Hongera Askofu.
 
Ameolewa kwenye jukwaa la siasa?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Akili zako umezivalia kwenye soksi kwahiyo hazifanyi kazi hiki ndiyo nini acha utoto wako.
 
Wewe kweli anophelesi unasambaza malaria tu...
Marcopolo vipi leo?
mwache huyo Mbu apate uhakika ni Mwingira wa EPHATA? au ni yule Dada
kwani Mzee wa Transformer Lusekelo alisema hawa Manabii wa Kike ni vigumu sana .................
sasa bora tupate ukweli na tuanze maswali km Unabii unakwenda ki-namna hiyoau walianza na uzinzi
 
Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulinenalo.. be careful dunia hii ya Mungu na ina watu wa Mungu, .. soma habari ya Sauli ujue nini kilimfanya akaitwa Paulo badala ya Sauli.
 
Kwani Lusekelo na Mwingira si ni sawa na vita kati ya Coca cola na Azam cola? Au Simba na Yanga? Watani tu hao kama CDM na CCM. Wakisemana wewe koroga kahawa unywe, wakisifiana chukuwa jembe ukalime kilimo kwanza.
 
Mi nataka update za mzee wa upako,leo ametoa kali gani?
 
Wana JF,

Niko safarini kuelekea Mkoa mmoja wapo wa kanda ya kati.

Kwambali ninaona gazeti la NYAKATI likiwa na kichwa kisemacho;
NABII JOSEPHAT MWINGIRA AOLEWA.

Naomba aliyesoma habari hiyo kwa undani atujuze!

Umepotosha, gazeti halijasema Mwingira ameolewa bali ASKOFU WA MWINGIRA AMEOLEWA.
Hiyo ndiyo tunaita Ujasiria DINI
 
Ni askofu wa mwingira aliyeolewa lakini ni baada ya kuonjwa na mwingira mwenyewe.
 
Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulinenalo.. be careful dunia hii ya Mungu na ina watu wa Mungu, .. soma habari ya Sauli ujue nini kilimfanya akaitwa Paulo badala ya Sauli.

sasa SUWI kwani hayo maneno kayanena mleta thread?? yeye kakuhabarisha na kukupa source!!!
 
Last edited by a moderator:
Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulinenalo.. be careful dunia hii ya Mungu na ina watu wa Mungu, .. soma habari ya Sauli ujue nini kilimfanya akaitwa Paulo badala ya Sauli.

kama watu wa Mungu unaowazungumzia ndio hawa wavunjaji wa amri zile za mwisho mwisho bora niwe mtu wa Mungu mwingine tofauti na huyo unayemzungumzia.Afu unamfananisha huyo mbabu wako na Paulo,wewe SUWI wacha maskhara yako bwana!utasababisha tutoane damu hapa,ohoo,we endelea kukufuru!
 
Last edited by a moderator:
Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulinenalo.. be careful dunia hii ya Mungu na ina watu wa Mungu, .. soma habari ya Sauli ujue nini kilimfanya akaitwa Paulo badala ya Sauli.

kama watu wa Mungu unaowazungumzia ndio hawa wavunjaji wa amri zile za mwisho mwisho bora niwe mtu wa Mungu mwingine tofauti na huyo unayemzungumzia.Afu unamfananisha huyo mbabu wako na Paulo,wewe SUWI wacha maskhara yako bwana!utasababisha tutoane damu hapa,ohoo,we endelea kukufuru!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom