Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...


Kila kitu kizuri kinatoka kwa MUNGU,na si kila miujiza inatoka kwa Mungu, tunaambiwa kuna baraka ambazo watu uomba na kupitia malaika baraka hizo zinapokuwa zinashushwa ,shetani naye humvizia malaika aziletaye ana weekness gani,na hizo weekness hutokana na Yale maombi ya kukatisha katisha yasiyo na msimamo na mwendelezo ambayo mwombaji hukata tamaa au vikwazo vingi kumkuta na shetani akifanikiwa kupata baraka hizo ndo uenda kuwagaia watu wake waganga na wale manabii Wa uongo ndo maana hata watu hupata watoto kwa hao hao waganga, Watu wanahimizwa kuomba roho mtakatifu awaongoze kuwatambua watu hawa,
 

Kama na wewe umeokoka basi unawadanganya wengi... Mbona post zako humu hazina ushuhuda kuwa umempokea Bwana.
Sura na mwili wa huyo Mama alivoukoboa inakosoa uumbaji wa Mungu na si uahuhuda mzuri kwa waumini, biblia inakataza kuyakosoa maumbile ikiwa pamoja na rangi za asili alizoumbwa nazo mwanadamu.
 
Me nilisha enda sana kwenye maomb lkn siamin ile stika yenye picha yake anayouza 5000 et utembee nayo au uweke chin ya mto uilalie au uweke kwenye maj uwoge iyo iman sikubalian nayo kabisa na unabii naoutoa pia sikubalian nao

Uganga wa Kikiristo ?!?
 

ameolewa au bado bikra?
 
Mkuu akhsante kwa kuliona hili.Mimi binafsi sikuwa na shaka na huyu nabii mpaka pale nilipomsoma GENTA,nikaamini kabisa jinsi anavyoandika hapa JF,na uhusika wa huyo mama nabii katika maisha ya GENTA,napata mashaka sana ya uhalali wa huduma yake.

Ameolewa au bado bikra?
 
Mathayo 7
Msihukumu nanyi mtahukumiwa maana kiasi kilekile mnachohukumu ndicho kiasi hiko hiko nanyi mtapimiwa kuhukumiwa.

kuna laana katika
1.Kuhumu wenye haki
2.kunyooshea watumishi wa Mungu vidole
3.Mungu anamwita mtumishi wake katika hali yoyote
4.Mungu usifikiri hakuoni maovu yako, usifikiri hakujui anakujua lakini wewe hajakuhukumu lakini wewe unamuhukumu binadamu mwingine, unamfanya Mungu hana akili? hajui analolifanya?
5.Mungu kamwita jinsi alivyo ili Mungu ajitwalie utukufu wake. Yesu akasema sijaja kwa ajili ya wenye haki nimekuja kwa kwa ajili ya waliopotea ili wapate uzima na uzima tele! Mungu anaweza kukupa maradhi ya cancer ya ngozi ili ujue hapendi dhambi unayofanya. Mungu anaweza kukuparalizisha mkono wako unaoandika hapa. Mungu anaweza kukupa maradhi ya kujinyea na kujikojolea anaweza kuuwa anaweza kufufua! wewe ni nani binadamu unayejihesabia haki mbela ya Mungu? wewe ni mkuu kuliko Mungu wa majeshi? wewe ulimuumba Mungu au yeye alikuumba wewe? na unamhukumu binadamu mwenzako? unamfanya Mungu mjinga? Mungu alikosea kuumba? iyo akili nani kakupa? iyo afya unayoringia mpaka unamhukumu mwingine? unampangia Mungu nani amfanye mtumishi? mbona wewe mzima Mungu kakuruka kamfuata mtumishi wa Mungu? angalia Mungu asije kukuangamiza! Mungu anaweza kukufanya ombaomba maisha yako yakawa magumu! Na akafanya mlangowako kwa Nabii flora alafu ndio wa kukuombea sijui utaenda au utaendelea kumsema? Mungu anaweza kukupiga wewe unayemsema mtumishi wa Mungu alafu kwa makusudi mlango wa wewe kufungulia akaufanya kwa uyu mtumishi. kila mahali unapoenda Mungu hakufungui mpaka kwa uyu nabii sijui utafanyaje? Mungu anaweza kukuletea msiba kwako! anaweza kukutesa! ila anakuangalia tuu unahukumu binadamu mwenzako alafu unamtukana mtumishi wa Mungu. Goliath alikuwa na kiburi zaidi yako lakini Bwana wa majeshi alimpoteza kwa jiwe moja tuu, alijitapa kama wewe! alitukana kama wewe! alijiinua kama wewe! angalia hasira ya Mungu isije kukuangukia. siandiki kukutisha ila nakueleza ya kuwa Mungu hataki na hapendezwi! kujihesabia haki! angalia Mungu asiruusu jiwe lililopiga Goliath likupige na wewe.
 
Hata mm napata mashaka na huyu mama mtumishi utajikoboaje uso hivyo bahan, kwa jina la yesu napingana na nguvu yyte ya giza kutoka kwa huyu mtumishi, twasira yako ndo itatuonyesha kweli huyu mtumishi au njaa tu zinasumbua watu. Twendeni makanisani tuliko kulia kule kuna uponyaji wa kweli maana ni imani yako tu. tafakari
 
Nabiii,nabiii,nabiiii MUNGU atusaidie sana,NABIII ELIA WA KIPINDI KILEEE ALIFANYA NINI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…