huyo Anna mbona ndie mwenyekiti?
Hivi unajuwa maana ya Ayattoullah kawaulize Wairan hata Rais hana nguvu.Mwalimu kaijage, ni kama nanusa kitu huko ACT, naona movement za Kumng'oa Zitto kwenye uenyekiti na kumsimika ANNA.. Naona waziwazi na kama unijuavyo nikinusa sikosei .
Ngojea uone after uchaguzi..
Hivi unajuwa maana ya Ayattoullah kawaulize Wairan hata Rais hana nguvu.
Mnajifaliji tu!!! Hapa kazi tu, lowasa
Zitto sio mwenyekiti wa ACTMwalimu kaijage, ni kama nanusa kitu huko ACT, naona movement za Kumng'oa Zitto kwenye uenyekiti na kumsimika ANNA.. Naona waziwazi na kama unijuavyo nikinusa sikosei .
Ngojea uone after uchaguzi..
katika kunusa kwako ushajua nani atakuwa rais?++
msipende kudhihaki watu...act inawatu wanafikiri vema.jitizame kwanza wewe unaubora gani ndugu yangu....hicho chama sipendi kusikia habari zake toka niambiwe kuna mtu mmoja tu ndio mwenye uwezo wa kufikiria!!
Wengine wote viazi wanafuata hapo nyuma...!
Raisi ni LOWASSA. Hii sio kunusa tena ni Confirmed . HATA kama UVCCM watapewa usukani wa kuongoza TUME, hakuna wanacho weza kufanya kwa sasa.WATU WAKIAMUA MWENYEZI MUNGU NDIYE KAAMUA. nani wa kushindana na MOLA??.. Ukijaribu kushindana na MOLA utakufa tu..MOLA HACHEZEWI..
ni lowassa tu mkuu maana hakuna namna.
Usimnasabishe Mungu na huo uchafu!Raisi ni LOWASSA. Hii sio kunusa tena ni Confirmed . HATA kama UVCCM watapewa usukani wa kuongoza TUME, hakuna wanacho weza kufanya kwa sasa.WATU WAKIAMUA MWENYEZI MUNGU NDIYE KAAMUA. nani wa kushindana na MOLA??.. Ukijaribu kushindana na MOLA utakufa tu..MOLA HACHEZEWI..
Raisi ni LOWASSA. Hii sio kunusa tena ni Confirmed . HATA kama UVCCM watapewa usukani wa kuongoza TUME, hakuna wanacho weza kufanya kwa sasa.WATU WAKIAMUA MWENYEZI MUNGU NDIYE KAAMUA. nani wa kushindana na MOLA??.. Ukijaribu kushindana na MOLA utakufa tu..MOLA HACHEZEWI..