britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nikiagalia pale Rwanda pale, walimshangilia Kagame kwa kupata mkombozi safi,
Uganda wakafika hatua wakasema Hakuna kama Mseveni kwa meizi ile 50 ya mwanzo lakin muda huu unaoana kinachoendelea,
Nikagundua kwamba mara nyingi wapiga kura tunakuwa hatujapata muda wa kutosha wa kudadisi anayoyasema mgombea,
Pili tunakua hatujajua sana tabia yake ya binafsi nje ya uongozi,
Tatu tunashindwaga kuukemea unafiki wa wenzetu wapiga kura kwa kuwa ama ni wanufaika wa mfumo au ni wale wanaoogopa kwa uoga tu,
Juzi Algeria wananchi waliandamana mtaani kumpiga rais yule yule ambaye waliwahi kumuona mkombozi wao mwanzoni anaingia, na mbaya zaid pamoja na kwamba kuna uchaguzi huko Algeria wananchi hawana imani na tume ya uchaguzi , jana wameendelea kuandamana wakishinikiza jina la Rais wa sasa lisiendelee kuwapo katika lista ya wagombea, hii imenifikirisha sana kwamba kumbe nao wanakuwa hawana imani sana na tume yao ya uchaguzi maana wangekuwa na imani nayo si wangesubiri siku ya kupiga kura wasimpigie?
Matatizo au dalili ambazo upekekea wananchi waanze kuichoka serikali au rais waliyemwamini ni hizi
1.Kukosa ajira na huku waliahidiwa ajira, tunajua ajira si lazima zitolewe na serikali, ila serikali iweke utaratibu bora wa kuwezesha ajira za kuajiriwa na ajira binafsi,
2.Kukamuliwa sana wananchi kupitia kodi zisizo kuwa na mpangilio,
3.Kuona mauaji na upoteaji wa wenzao kwa kutekwa bila majibu ya kuridhisha
4. Chuki binafsi ya serikali dhidi ya wawekezaji wa mashirika binafsi na kuwakomoa
5.Kutunga tunga sheria ambazo hazina mpangilio kila siku ni kumtisha mwananchi wa kawaida badala ya kumfariji
NAWATAKIA UBEBAJI MWEMA WA MABOX VICHWANI MUWAPO KWENYE MABASI YA USAFIRI
USIKOSE KUFUATA MAAGIZO YA SERIKALI KWENYE KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI,
USIJE UKAMPA TENDA MTU AMBAYE SI WAKALA WA SERIKALI
Uganda wakafika hatua wakasema Hakuna kama Mseveni kwa meizi ile 50 ya mwanzo lakin muda huu unaoana kinachoendelea,
Nikagundua kwamba mara nyingi wapiga kura tunakuwa hatujapata muda wa kutosha wa kudadisi anayoyasema mgombea,
Pili tunakua hatujajua sana tabia yake ya binafsi nje ya uongozi,
Tatu tunashindwaga kuukemea unafiki wa wenzetu wapiga kura kwa kuwa ama ni wanufaika wa mfumo au ni wale wanaoogopa kwa uoga tu,
Juzi Algeria wananchi waliandamana mtaani kumpiga rais yule yule ambaye waliwahi kumuona mkombozi wao mwanzoni anaingia, na mbaya zaid pamoja na kwamba kuna uchaguzi huko Algeria wananchi hawana imani na tume ya uchaguzi , jana wameendelea kuandamana wakishinikiza jina la Rais wa sasa lisiendelee kuwapo katika lista ya wagombea, hii imenifikirisha sana kwamba kumbe nao wanakuwa hawana imani sana na tume yao ya uchaguzi maana wangekuwa na imani nayo si wangesubiri siku ya kupiga kura wasimpigie?
Matatizo au dalili ambazo upekekea wananchi waanze kuichoka serikali au rais waliyemwamini ni hizi
1.Kukosa ajira na huku waliahidiwa ajira, tunajua ajira si lazima zitolewe na serikali, ila serikali iweke utaratibu bora wa kuwezesha ajira za kuajiriwa na ajira binafsi,
2.Kukamuliwa sana wananchi kupitia kodi zisizo kuwa na mpangilio,
3.Kuona mauaji na upoteaji wa wenzao kwa kutekwa bila majibu ya kuridhisha
4. Chuki binafsi ya serikali dhidi ya wawekezaji wa mashirika binafsi na kuwakomoa
5.Kutunga tunga sheria ambazo hazina mpangilio kila siku ni kumtisha mwananchi wa kawaida badala ya kumfariji
NAWATAKIA UBEBAJI MWEMA WA MABOX VICHWANI MUWAPO KWENYE MABASI YA USAFIRI
USIKOSE KUFUATA MAAGIZO YA SERIKALI KWENYE KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI,
USIJE UKAMPA TENDA MTU AMBAYE SI WAKALA WA SERIKALI