Naanza kugundua kwanini nchi nyingi walipata marais mwanzoni wakawashangilia, ila muda ulivyopita wakaanza kupingwa na kuwa madikteta

Jina la utani walimuita Bulldozer" tingatinga. Limesadifu. Aliboma nyumba zilo barabarani na kupanua barabara kila kona Tanzania, aliweza kubomoa Chadema. Ila alijita JIWE (mwamba,/rock stone rock). Ni Jiwe walilolitakaa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni, na kila alijegonga kwenye Jiwe hilo alisambatika vipande vipande.. Lejea UKAWA ,Chadema, amerudi mbuge mmjo. Kosa walilofanya CDM nikupambana Jiwe (Prophet YOHANA AU JOHN). Mwamba amesepa. Sasa wanachafua kivuli chake .Onyo kwa mtu anaepambana na kivuli cha Mwanamageuziharisi. Atakufa kifo kibaya sana. Atasambatika
Unasumbuliwa na ushamba Kama jiwe mwenyewe
 
Nikiagalia pale Rwanda pale, walimshangilia Kagame kwa kupata mkombozi safi,
Uganda wakafika hatua wakasema Hakuna kama Mseveni kwa meizi ile 50 ya mwanzo lakin muda huu unaoana kinachoendelea,

Nikagundua kwamba mara nyingi wapiga kura tunakuwa hatujapata muda wa kutosha wa kudadisi anayoyasema mgombea,
Pili tunakua hatujajua sana tabia yake ya binafsi nje ya uongozi,
Tatu tunashindwaga kuukemea unafiki wa wenzetu wapiga kura kwa kuwa ama ni wanufaika wa mfumo au ni wale wanaoogopa kwa uoga tu,


Juzi Algeria wananchi waliandamana mtaani kumpiga rais yule yule ambaye waliwahi kumuona mkombozi wao mwanzoni anaingia, na mbaya zaid pamoja na kwamba kuna uchaguzi huko Algeria wananchi hawana imani na tume ya uchaguzi , jana wameendelea kuandamana wakishinikiza jina la Rais wa sasa lisiendelee kuwapo katika lista ya wagombea, hii imenifikirisha sana kwamba kumbe nao wanakuwa hawana imani sana na tume yao ya uchaguzi maana wangekuwa na imani nayo si wangesubiri siku ya kupiga kura wasimpigie?

Matatizo au dalili ambazo upekekea wananchi waanze kuichoka serikali au rais waliyemwamini ni hizi
1.Kukosa ajira na huku waliahidiwa ajira, tunajua ajira si lazima zitolewe na serikali, ila serikali iweke utaratibu bora wa kuwezesha ajira za kuajiriwa na ajira binafsi,

2.Kukamuliwa sana wananchi kupitia kodi zisizo kuwa na mpangilio,

3.Kuona mauaji na upoteaji wa wenzao kwa kutekwa bila majibu ya kuridhisha

4. Chuki binafsi ya serikali dhidi ya wawekezaji wa mashirika binafsi na kuwakomoa

5.Kutunga tunga sheria ambazo hazina mpangilio kila siku ni kumtisha mwananchi wa kawaida badala ya kumfariji


NAWATAKIA UBEBAJI MWEMA WA MABOX VICHWANI MUWAPO KWENYE MABASI YA USAFIRI

USIKOSE KUFUATA MAAGIZO YA SERIKALI KWENYE KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI,

USIJE UKAMPA TENDA MTU AMBAYE SI WAKALA WA SERIKALI

Bora nchi ianze na mfalme au malkia kisha mfumo huo ukifeli, kufanyike mapinduzi ndiyo mfumo wa uongozi wa urais uingie.

Tatizo nchi za kiafrika zilipopata uhuru walipata viongozi marais mithili ya wafalme au machifu ( imperial president ) wa vijijini kwao.

Hadi leo tunaona marais na familia zao Museveni, Kagame, Nguema, Bokassa n.k wanatawala kama vile ni marais wafalme kwani bongo zao za makuzi zina chembechembe za utawala wa ki chifu waliouona wakikua au walitoka katika koo za chifu kama za kule Butiama Mara Tanzania za kina chifu Burito Nyerere.
1671443641364.png

Photo : Central African Republic President Jean-Bedel Bokassa sits with his wife Catherine, as he crowns himself "emperor" on Dec. 4, 1977
Sasa nchi za kiAfrica tuna marais ambao kiuhalisia ni wafalme / malkia lakini wamevikwa majoho na vilemba vya urais wa kuchaguliwa. Chaguzi hizi 'fake' na kampeni za vyama ruhani (ghost), tume za uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa zimegharimu fedha nyingi. Bora tujue kuna utawala halisi wa ufalme na chaguzi zisiwepo kabisa pesa ziende kutumia katika masuala mengine badala ya uchafuzi wa chaguzi.

Kujua kuwa wateule wengi wangekuwa wa mfalme wa kweli, vigogo wa mikoa wengi wangetimuliwa kazi mara moja lakini kwa vile tunaigiza utawala wa serikali ya kiraia yenye kanuni za ajira, kukata rufaa ktk utumishi wa umma katika serikali ya kiraia na siyo utumishi chini ya mfalme.

Basi waziri mkuu wa mfalme aliyetoka makao makuu ya dola ya kifalme iliyoko Dodoma au Dar es Salaam kisha kukuta mambo yapo mabaya Katavi wakati pesa zake mfalme zimetumwa kufanya miradi ya afya, hawa ma-walii, ma-akida, ma-Liwali, diwani, machifu n.k wangetimuliwa mara moja kwa sheria za utawala wa kifalme bila kupoteza muda na uchunguzi wa TAKUKURU.

18 December 2022
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa agundua madudu mkoani Katavi huku mkoa una wateule kibao wa rais kama RC, RAS, DC, DAS, DED, mganga mkuu wa mkoa n.k mkoani Katavi
 
Back
Top Bottom