mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
And who are you to say so!! Wewe kama uliolewa mapema basi tulia muache mwenzio atafute, si lazima kila mtu aolewe mapema, everything hapens at right time, hayo mambo ya kulazimisha ndio maana hao unaosema wanalea wajukuu utakuta wako veryyy bored,lonenly and desparate ilihali wako kwenye hizo ndoa, so acha kukatisha watu tamaa na kukariri maisha.
Kama kawaida yako, teh teh teh!!! huyo me