Naamini nitampata atakayenifaa

Naamini nitampata atakayenifaa

Miaka 32 si umeshazeeka wewe,wenzio wa umri huo wanalea wajukuu,wewe ndo kwanza unatafuta bwana?pole yako

And who are you to say so!! Wewe kama uliolewa mapema basi tulia muache mwenzio atafute, si lazima kila mtu aolewe mapema, everything hapens at right time, hayo mambo ya kulazimisha ndio maana hao unaosema wanalea wajukuu utakuta wako veryyy bored,lonenly and desparate ilihali wako kwenye hizo ndoa, so acha kukatisha watu tamaa na kukariri maisha.
 
And who are you to say so!! Wewe kama uliolewa mapema basi tulia muache mwenzio atafute, si lazima kila mtu aolewe mapema, everything hapens at right time, hayo mambo ya kulazimisha ndio maana hao unaosema wanalea wajukuu utakuta wako veryyy bored,lonenly and desparate ilihali wako kwenye hizo ndoa, so acha kukatisha watu tamaa na kukariri maisha.

thank you!!
 
Kila lakheri dada'ake. umejieleza vizuri and you sound innocent kwa maandishi yako.
 
Kila la kheri mpendwa na mwenyezi MUNGU akubariki uweze kupata hitaji lako kwa muda ulioupanga.
 
All the best lisa k, Mungu akusaidie upate sawasawa na hitaji lako, ila usiwe na pupa maana yeye hujibu maombi yako kwa wakati wake, hachelewi wala hawahi.
 
Last edited by a moderator:
Daa aisee kila mtu na matatizo yake hii dunia inamambo ya ajabu kwi kweli.pe sana dada yangu unge weka category ya 26 au 27 ningejitupiamo but hapo sifa zingine zote ninazo mungu akujalie umpate mwema kama mimi kama kweli
 
Miaka yote hiyo unachezewa tu akili, miaka karibia 10.
Khaaa kubali tu kuwa hutaolewa maana hapo ukizaa mtoto utambakiza yatima mapema
 
All the best lisa k, Mungu akusaidie upate sawasawa na hitaji lako, ila usiwe na pupa maana yeye hujibu maombi yako kwa wakati wake, hachelewi wala hawahi.

Yeah, ni kweli,asante kwa kunitia moyo
 
Last edited by a moderator:
tatizo wakati mnatongozwa kipind upo na miaka jati 20-25 maringo mengi mwanachuo mara unataka bwna aliyesoma,mwenye hela na kusahau kuwa wanaume ni hawahawa unaowazarau leo unakuja kuwaomba wakuoe
 
baadhi ya wadada punguzen nyodo maana ndo tabia zenu hizi mwisho wa siku usafanya kila dhambi unakuja kwa walewale uliowazarau unawaomba wakuoe noma sanaaa...
 
tatizo wakati mnatongozwa kipind upo na miaka jati 20-25 maringo mengi mwanachuo mara unataka bwna aliyesoma,mwenye hela na kusahau kuwa wanaume ni hawahawa unaowazarau leo unakuja kuwaomba wakuoe

Hivi dear umesoma vizuri Thread au? Alikuwa anaye aliyedhania atakuja kuwa nae baadae ila ikatokea sivyo. Na inatokeaga hii kwa wengi tunaoezeka siko . So now she is here kupata yule anayemfaa . What's wrong with it? Thanks.
 
Miaka 32 si umeshazeeka wewe,wenzio wa umri huo wanalea wajukuu,wewe ndo kwanza unatafuta bwana?pole yako

We wa 18 na yeye wa 32tukiwaweka pamoja we ukute ndo utaitwa bibi mfyuuuu! Watu sana 35 lakini ukiwaona kama wako kwenye early 20s. Heri yake kasema ukweli kuliko wengine mabingwa Wa kudanganya umri wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom