Naamini nitampata atakayenifaa

Naamini nitampata atakayenifaa

lisa k

A very innocent lady you sound though I cannot authoritatively say unless I personally know you.
You will get the right man just hang around and stay focused.

Wish I could have you
 
Last edited by a moderator:
Miaka 32 si umeshazeeka wewe,wenzio wa umri huo wanalea wajukuu,wewe ndo kwanza unatafuta bwana?pole yako
Kuleta mjukuuau vitukuu hiyohaikuhusu. Kila jambo lina wakati wake nahuu ndio wakati wake. Yupo aliyekuwa anamtafuta wa hivyo. Kaa kimya tu
 
Lisa

Mungu atakusaidia utapata tu dada........ Usijali sana maoni ya wadau wa jf wazoee tu ni kawaida yao kukupa challenge ktk proposal yako
 
Last edited by a moderator:
It is funny that there's a green light to hit the pm, but some of y'all would still drop your lame questions and digits here. Who the freak got us Tanzanians here man?? I'm fo'real.
 
Ukiona mwana dar es salaama anapost namba ya mtandao tofauti na tgo basi jua hiyo ni ya ziada tu,ya tigo ipo special kwa alienae kwasasa(Galfriend/Mke)!
 
A very innocent lady you sound though I cannot authoritatively say unless I personally know you.
You will get the right man just hang around and stay focused.

Wish I could have you

asante!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom