beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Pamoja na malalamiko mengi, bado tafiti zinaonesha kuwa katika kila watu 10 hapa nchini, 6 wanaamini wanaweza kuikosoa Serikali liyopo madarakani bila hofu kuliko serikali iliyopita.
Ajabu lakini ni kweli! Unaweza kudhani ukosoaji unaminywa lakini bado si kwa kiwango cha kutisha..
Utafiti unaonesha asilimia 60% ya Watanzania bado wanaamini wanaweza kuikosoa serikali inapofanya makosa bila hiyana.
Unasemaje?!
Ajabu lakini ni kweli! Unaweza kudhani ukosoaji unaminywa lakini bado si kwa kiwango cha kutisha..
Utafiti unaonesha asilimia 60% ya Watanzania bado wanaamini wanaweza kuikosoa serikali inapofanya makosa bila hiyana.
Unasemaje?!