elimumali
Senior Member
- Jan 13, 2010
- 149
- 8
Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea.
Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu ajifungue. Anatakiwa awe na 11.5 ndio salama.
Wataalam wa madawa nifahamisheni:
1. Atumie dawa gani/chakula gani ili damu yake iongezeke haraka (wiki 4)
2. Hivi sasa dawa anazotumia ni HB Tone (vidonge), juice ya rozela na matembere. Kuna mtu kanishauri atumie Hemovit. Je, ipi nzuri zaidi kati ya HB Tone na Hemovit (ya maji?
3. Vidonge na dawa ya maji ipi inafanya kazi haraka zaidi au nzuri zaidi?
4. Hivi, ni kweli Beet root kwa mja mzito ina utata kutokana na reaction yake ya kutoa sumu mwilini?
Natanguliza Shukrani.
Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu ajifungue. Anatakiwa awe na 11.5 ndio salama.
Wataalam wa madawa nifahamisheni:
1. Atumie dawa gani/chakula gani ili damu yake iongezeke haraka (wiki 4)
2. Hivi sasa dawa anazotumia ni HB Tone (vidonge), juice ya rozela na matembere. Kuna mtu kanishauri atumie Hemovit. Je, ipi nzuri zaidi kati ya HB Tone na Hemovit (ya maji?
3. Vidonge na dawa ya maji ipi inafanya kazi haraka zaidi au nzuri zaidi?
4. Hivi, ni kweli Beet root kwa mja mzito ina utata kutokana na reaction yake ya kutoa sumu mwilini?
Natanguliza Shukrani.