republicoftabora
Member
- May 9, 2012
- 59
- 15
Kwa takriban humu JF tuliaminishwa kuwa shida zetu zote sisi watu milioni 45 zinatokana na mtu mmoja kwa jina la ROSTAM AZIZ
sasa nashangaa toka aondoke kwenye ulingo wa siasa watu bado wanakufa muhimbili, barabara mbovu, malaria kwa wingi, njaa iko pale pale, maji machafu, watu wanakufa kila kukicha
sasa cha kujiuliza imekuwaje?
au tuliaminishwa visivyo na wachambuzi wa JF?
sasa nashangaa toka aondoke kwenye ulingo wa siasa watu bado wanakufa muhimbili, barabara mbovu, malaria kwa wingi, njaa iko pale pale, maji machafu, watu wanakufa kila kukicha
sasa cha kujiuliza imekuwaje?
au tuliaminishwa visivyo na wachambuzi wa JF?