Naacha ualimu, nimechoka dharau

Naacha ualimu, nimechoka dharau

Hata udaktari watu huuacha, ila kwa kumbilia ubunge.
Kama na wewe una pazuri pakwenda, nibora uende. Ila kama huna, karibu ziwani tuvute kokolo
 
Ndugu wadau: Najua humu ndani kuna watu tofauti wanachuo,watumishi na hata wanafunz...mm nizungumzie hii idara ya UALIMU licha ya kudharaulika kwa mishahara duni na mazingira mabovu ya kazi dharau imepitiliza mpaka walimu kupigwa makofi hadharani inaniuma sana si tu kwa ujinga wa huyu jamaa aliyepigwa Bali hata hii kada imekaa kudharaulika sijawahi kusika kama kuna Daktari kapigwa au Mhasibu lakin ni miaka ya juzi tu walimu walikula bakora hadharani na mkuu wa wilaya...kwa dharau hizi walimu wasitegemee kama kuna Siku watatekelezewa madai yao ...mmeyataka wenyewe bakini wenyewe kwenye kada yenu
HIVI KUNA KADA AMBAYO WATU WAKE WANAFANYA KAZI KWENYE MAZINGIRA PERFECT,UNASEMEA MISHAHARA??MSHAHARA UNAOTOSHA NI KIASI GANI?NA NI KADA GANI AMBAYO MSHAHARA UNAWATOSHA.TATITZO KUBWA LA WALIMU NI KUJILIZALIZA TUUU,WANAMWAMBIA KILA MTU MPAKA MTOTO MDOGO ANAJUA SHIDA ZAO NDO MAANA WANADHAURIKA.MTU KAMA UNAONA MSHAHARA HAUKUTOSHI ACHA KATAFUTE KAZI UNAYOTAKA.
 
ukiacha kazi bila kujua unaenda fanya nini ngumu sana... ukitoka huko utakuja kutafuta kazi waajiri wakubwa kwa sasa ni wachina na wahindi na huko ukiingia kichwa kichwa wanaweza hata kukutia kidole... kama hutaki kudharaulika tafuta namana ya wewe kujiajiri mwenyewe
 
Pole sana, kila laheri huko unakohamia.... Unaenda kuwa dereva bodaboda nini?!
Kama bodaboda ni yake au akiwa hata na bajaji ya kwake, uhakika kuingiza 30 kwa siku upo tena kama ni bajaji ndo kabisaaa.
Tatizo wasomi wanadharau hizi kazi wakati zinalipa sana Mkuu!
 
Kama bodaboda ni yake au akiwa hata na bajaji ya kwake, uhakika kuingiza 30 kwa siku upo tena kama ni bajaji ndo kabisaaa.
Tatizo wasomi wanadharau hizi kazi wakati zinalipa sana Mkuu!
Sijadharau nimemuuliza
 
Kama ualimu utaendelea kuwa kimbilio la waliofeli basi ualimu utazidi kudharaulika labda serikali ichuje watu wenye sifa za kuwa walimu
Acha stereotypes thoughts kwamba ualimu ni kimbilio la watu waliofeli tena koma kabisa
 
Acha stereotypes thoughts kwamba ualimu ni kimbilio la watu waliofeli tena koma kabisa
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.
 
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.
Acha argument za uongo
 
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.
Acha uongo......
 
Ha-ha walimu msipanic
Sio kupanic hayo mambo unavoongea ni vice versa, miaka hiyo ndio failures walikua wanakimbilia ualimu chuo gani sahivi kinachukua failures kwenda ualimu? Zamani watu walikua wana tumia vyeti feki kuingia kwenye ualimu biashara hizo sahivi nani anazifanya? Ukiamua kuongea ishu muhimu kama hii vema ukaweka chai pembeni
 
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.
Idiot & non sense
 
Sio kupanic hayo mambo unavoongea ni vice versa, miaka hiyo ndio failures walikua wanakimbilia ualimu chuo gani sahivi kinachukua failures kwenda ualimu? Zamani watu walikua wana tumia vyeti feki kuingia kwenye ualimu biashara hizo sahivi nani anazifanya? Ukiamua kuongea ishu muhimu kama hii vema ukaweka chai pembeni
Oh I see. Kuna watu nawafahamu ni vilaza mwisho na sahizi ni walimu tena wamemaliza mwaka Jana tu, nilijua bado mchezo unaendelea
 
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.

Tatizo tukiongelea ualimu nyie mnakazana na walimu wa grade A wenye certificate. Unasahau wa diploma na degree. Hivi wewe unajua kwamba ni kada ya ualimu tu yenye elimu ya cheti? Na kama unajua kwamba kila kada ina wataalamu wenye vyeti unafikiri hao wanaokwenda kusoma kwenye ngazi ya cheti unafikiri ufaulu wao ukoje? Umeshaenda pale chuo cha mahakama pale lushoto ukaona wanaosomea pale cheti na diploma ufaulu wao ukoje? Na wakimaliza wakawa mahakimu utakuja kusema mahakimu wana akili nyingi. Kwenye kada ya uuguzi na utabibu wale makliniko ofisa kwenda kusomea hiyo kitu ufaulu wao unakuwaje. Mi labda pointi ya msingi ni kwamba wanaoenda kusomea ualimu ukiangalia background zao ni watu wenye uchumi wa chini na uamua kwenda kuusomea kwa sababu gharama zake za kuusomea ni ndogo hii ni kutokana na uhitaji wao mkubwa hivyo serikali utoa ruzuku kwenye vyuo vya ualimu. We angalia kusomea misitu ngazi ya cheti ni milioni 2 kwa mwaka wakati ukisomea ualimu ngazi ya cheti ualimu ni laki 3, sasa hapo si utaona watakaoenda kusomea ualimu na watu wa aina gani? Achane kuongea vitu ambavyo hamjavifanyia uchunguzi.
 
Ndugu wadau: Najua humu ndani kuna watu tofauti wanachuo,watumishi na hata wanafunz...mm nizungumzie hii idara ya UALIMU licha ya kudharaulika kwa mishahara duni na mazingira mabovu ya kazi dharau imepitiliza mpaka walimu kupigwa makofi hadharani inaniuma sana si tu kwa ujinga wa huyu jamaa aliyepigwa Bali hata hii kada imekaa kudharaulika sijawahi kusika kama kuna Daktari kapigwa au Mhasibu lakin ni miaka ya juzi tu walimu walikula bakora hadharani na mkuu wa wilaya...kwa dharau hizi walimu wasitegemee kama kuna Siku watatekelezewa madai yao ...mmeyataka wenyewe bakini wenyewe kwenye kada yenu
Pole sana
 
Ndiyo ukweli. Mara ya mwisho lini umesikia mtu kafaulu kaenda kusoma ualimu kama sio miaka 15 iliyopita. Usipinge ukweli wakati ndio hali halisi, ukitaka kusahihisha mfumo mbovu lazima ukubali kwanza kuna mahala tunakosea. Watu wanaosoma ualimu siku hizi hawajui hata tofauti ya R na L sijui wanafundisha nini watoto.
Mzee hapa sijakuelewa mfano SUA cut off point za kozi zote ni 4 nimeona watu wengi waliingia kwa dvn 1,2 pamoja na 3 za mwanzoni ebu fafanua hiyo miaka 15 unamaanisha mini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom