- Thread starter
- #41
uliotutaja wote hapo juu(except eliza) tulikuwa tunapiga maombi jana, hatukuwa na huyo mtu kbs.
Hivi hamfanyagi maomi kwa watu wawili wawili...kama mimi na wewe hv...
uliotutaja wote hapo juu(except eliza) tulikuwa tunapiga maombi jana, hatukuwa na huyo mtu kbs.
Kipipimoyo, Kipipimaziwa upo mchuchu
Roya............. kama unakiri kuwa ni ngumu basi ushafell interview.... Baki huko huko utabadilika tu baadae- Kea nguvu ya maombi ya chama pinzani.Well...hiyo gumu sana....
Sasa ni lini utanishawishi....
:moony::moony::moony::moony:
Roya............. kama unakiri kuwa ni ngumu basi ushafell interview.... Baki huko huko utabadilika tu baadae- Kea nguvu ya maombi ya chama pinzani.
Fighting for ---- Infii- free society-----
confusing mkuu!!Beauty masharti yangu ni take or leave!
Sasa unaonaje ukiwa wa kwanza?
Rite msg to wrong destination/person, pole!!Habari za asubuhi, hivi kuna ile guest pale jirani na kwenu tulipoenda siku zile kuangalia kama wana vyumba nikumbushe inaitwaje jina limenitoka kidogo
Wadau, mabibi na mabwana…
Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility….
Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani….
1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga infidelity wakati najua infidelity is there to stay
2. Nitapata mapokezi ya kishindo i.e. kupewa muda wa kuwa faragha na wafuatao:
i. Smiles (asiogope itakuwa bedless bedroom)
ii. Beauty
iii. Mwanajamiione
iv. Carmel
v. Nyamayao
vi. Wengineo kama itakavyoipendeza ISC...
3. Rule 3 iruhusiwe kutumika kwa hao wa juu….ni muhimu mwenyekiti, mhazini, mfalme na washauri na membaz wote wakaridhika na hatua yangu
As it's only a Friday nawasilisha….
Katibu.
Valuer bado ziko kichwani
Sio Bure nadhani una hangover au lipo linalokusibu hahahahahah:blah:
Kwanza hapo upo wapi?????? isije ukawa bado upo gesti hausi
Ni hito tumasharti tudogo tu mnitekelezee...:A S 8:
yani unataka wote hao? ushakua mswati nini?? duh, hiyo list naiona kama umeiweka kwa order maalum au ni random tu?
Sasa msinihuhukumu kabla ya kunipa nafasi....hebu nipeni nafasi kwanza ndo mnihukumu....
:boom:Naona anataka kutumia mfumo wa kifalme wa kujilimbikizia mali na madaraka
Rite msg to right destination/person, thanx!!
Are you on Cracks??
Wonderful... hata wanachama wenzako wanakushangaa..
Majani yale...
Yamemkuta...
Ukiamua kufanya kitu kwa moyo wako unaweka masharti ya nini, kwani walikuita?? Acha kiherehere...
More doubts from your fellow members...
Nafasi ya ku-demonstrate u-zuma wako?? Mbwa Mwitu akaribishwe kwenye zizi la Kondoo?? :crazy::crazy::crazy:
:boom:
Weekend Njema...
mbona mnanichanganya sana jamani na vidosho wenu, akhaa!!Si unakumbuka jana baada ya kutoka Zero Pub ukanipitia pale ISC Pub na Opa yako tukaondoka pamoja.
Are you on Cracks??
Wonderful... hata wanachama wenzako wanakushangaa..
Majani yale...
Yamemkuta...
Ukiamua kufanya kitu kwa moyo wako unaweka masharti ya nini, kwani walikuita?? Acha kiherehere...
More doubts from your fellow members...
Nafasi ya ku-demonstrate u-zuma wako?? Mbwa Mwitu akaribishwe kwenye zizi la Kondoo?? :crazy::crazy::crazy:
:boom:
Weekend Njema...
mbona mnanichanganya sana jamani na vidosho wenu, akhaa!!
tunafanya, unataka kufanya mkiwa wawili tu i.e wewe na baba mchungaji tu?Hivi hamfanyagi maomi kwa watu wawili wawili...kama mimi na wewe hv...
INFII wote jhuuu
naona watani zetu povu limewakauka kuona ROYA R|OY anakatiza mstari kwenda kwao
tunafanya, unataka kufanya mkiwa wawili tu i.e wewe na baba mchungaji tu?
Roya kumbuka katika IPC tunaongozwa na Ilani isemayoKuna kujitoa kwa infidelity na kuna kupinga infidelity...sasa wewe unafanya lipi hapa...
:fish2::fish2::fish2::fish2:....(ntawaatarifu idadi ya samaki niliokamata)
Nashukuru Beauty for your understanding
Hapana wewe na Eliza ni tofauti tatizo unamkumbuka sana Eliza kwa kuwa anatoa huduma nzuri sana na huwa ana keep secret zako ukiwa unaondoka usiache kumpa TIP