umeamkia upande gan leo?[/B][/U][/COLOR]
umeongea point ya sikukuu yan dah
nakuonaga una machungu na kina marioooooooooooo
..hahaaaaaaaa haaaaaaaaaaa wengne wajiiiiiiiiiiiinga et anafanya kaz afu ela anaenda kummwagia marioooooooooo kitandan afanye mipango basi marioooooooo full kupeleka kwao machame juu weew uyole kwenu kumedoda mweeeeeeeee!!!!!!!!!
Ila ukiwapata unakula raha na unabembelezwa weeeeeeeee
Lakini ndo nampenda na mahela yake huenda akawa wa maisha huyu
Yaani hajui kuishiwa
Ndo nawapenda hawa beijing imefanya kazi kweli
Haki sawa
Mwe mpenzi nimeamkia gesti mhh hata sikumbuki ni gesti gani nilikutana na marioooo shughuli anaiweza kweli, kakukuruka mpaka nguvu zikamuisha c nilimpa kaofa akadhani ndio nitampa na password ya ATM c akashughulika mpka akamaliza nguvu zake mi asubh nkamuacha hoi pale na mauzingizi yake nkatokomea job sijui kaamkaje kwi kwi kwi hajui nshakutana na dizaini ka yeye 18 ye wa 19
usisahau pia huwa wanachinja ghafla. anaamka asubuhi na kukwambia "Sikupendi kama zamani tena" ukimuuliza kwa hasira anakwambia wewe ni kupe tu, and I need a fresh kupe.
Bado 17 sasa
namtafuta wa 20