Du ee bwana eeh mi nawatamani sana japo sina bahati nao; yaani kuwapata !Kiukwel kabisa mi na demu mwenye hela, hatuivani...
Du ee bwana eeh mi nawatamani sana japo sina bahati nao; yaani kuwapata !Kiukwel kabisa mi na demu mwenye hela, hatuivani...
ki ukweli wanaume wanpenda kutelezea sana wakiona mdada ana pesa kazi nzuri eti anajifanya kafa kaoza lololooo jamani mjirekebishe bwana as men you have to stand with your on leg bwana, yaani wana boa hao...................,
Ila ukiwapata unakula raha na unabembelezwa weeeeeeeee
Wacha tuboe ila haki sawa ndo hiyo
Mie nimeoza nimekufa jamani kwa mdada mwenye pesa zake
raha duniani napata
kazi yangu ni ile shughuli tu na namfikisha anapotaka kwenda olalaaaaaaaa
Sio shughuli hiyo tu
1. Utapiga deki na kuosha vyombo
2. Utanifungulia ucku ninaporudi kutoka katika mishe mishe zangu kwa kunifanyia huduma zote maji ya kuoga, kuniogesha n.k
3. Utabaki na mtoto nyumbani sina haja ya kuweka house girl
4. Ninapokuwa seblen la laptop yangu naandaa mazingira ya kesho job hutakiwi kukaa hapo unatakiwa kuzunguka chumbani kuweka mazingira sawa na kumalizia kazi za jikoni
5. Ninapokuita nahitaji maji ya kunywa au chochote ni lazima uitike yes madam huku ukiwa umevaa epron kuonyesha ulikuwa unamalizia kuosha vyombo
6. Ushughulike nikiamua hakuna kuchoka, na ni mimi ninaeamua na c wewe
Upo hapo maana umeamua kuingilia kazi ya mungu kwamba mimi mwanamke nitafute kwa jasho na nizae kwa uchungu
Sio shughuli hiyo tu
1. Utapiga deki na kuosha vyombo
2. Utanifungulia ucku ninaporudi kutoka katika mishe mishe zangu kwa kunifanyia huduma zote maji ya kuoga, kuniogesha n.k
3. Utabaki na mtoto nyumbani sina haja ya kuweka house girl
4. Ninapokuwa seblen la laptop yangu naandaa mazingira ya kesho job hutakiwi kukaa hapo unatakiwa kuzunguka chumbani kuweka mazingira sawa na kumalizia kazi za jikoni
5. Ninapokuita nahitaji maji ya kunywa au chochote ni lazima uitike yes madam huku ukiwa umevaa epron kuonyesha ulikuwa unamalizia kuosha vyombo
6. Ushughulike nikiamua hakuna kuchoka, na ni mimi ninaeamua na c wewe
Upo hapo maana umeamua kuingilia kazi ya mungu kwamba mimi mwanamke nitafute kwa jasho na nizae kwa uchungu
Originally Posted by maty
Sio shughuli hiyo tu
1. Utapiga deki na kuosha vyombo
2. Utanifungulia ucku ninaporudi kutoka katika mishe mishe zangu kwa kunifanyia huduma zote maji ya kuoga, kuniogesha n.k
3. Utabaki na mtoto nyumbani sina haja ya kuweka house girl
4. Ninapokuwa seblen la laptop yangu naandaa mazingira ya kesho job hutakiwi kukaa hapo unatakiwa kuzunguka chumbani kuweka mazingira sawa na kumalizia kazi za jikoni
5. Ninapokuita nahitaji maji ya kunywa au chochote ni lazima uitike yes madam huku ukiwa umevaa epron kuonyesha ulikuwa unamalizia kuosha vyombo
6. Ushughulike nikiamua hakuna kuchoka, na ni mimi ninaeamua na c wewe
Upo hapo maana umeamua kuingilia kazi ya mungu kwamba mimi mwanamke nitafute kwa jasho na nizae kwa uchungu
We hujakutana na kidume wewe, nikikukamata, nitakudo , hela utanipa, jikoni cingii, na wewe ndio utanyenyekea, na mambo yote yakupasayo kufanya utafanya, kwanza mijike inayofuata midume huwa mingi inaweekness either lifugwa sana kama ni toto la nyumba nyeupe geti jeusi, au mmama uliokata tamaa ya kuolewa,limeenda age, na kama ni sista du ujue bamia ishamkolea , yaani ndio kapatikana, so ucpime kabisa
nomaje?km nikimsaidia kuuliza?Kaka umemaliza mpee huyo hajui siye vidume noma
Kaka umemaliza mpee huyo hajui siye vidume noma
ajaribu aone atinge kwenye 18 za vidume kazi
Hakuna lolote tumeshawashtukia ck hiz ilikuwa zamani unatoa hiyo kazi yako nafurahia na hela yangu huonji labda niamue kukupa tu viofa ofa vya hapa na pale ambavyo nikipiga mahesabu nilipata kwa dili ofcn sio hela niliyoitolea jasho
Kaka umemaliza mpee huyo hajui siye vidume noma
We toa tu ofa kwani yeye anajua ni ofa
Dah ila uminikumbusha kuna mdada ananipaga raha kila wiki end yaani akinikosa anaweza ugua sijui na yeye ni za deal ya ofisini! anyway ndo maisha
Unakutana na hao vijike vilivyokulia geti kali, hukakutana na mtoto wa uswahilini wewe ye mwenyewe kazi anaiweza utampa nini mpaka akuone kidume? kwanza wenyewe una mifano tosha umekutana na wangapi wanaoonga ukicompare na wachunaji?