engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana Jf Naomba kuuliza swali
kwani tumeone viongozi wa baraza la mawazili karibu wote wamegonga kikombe cha BABU,sasa swali langu ni kuhusu Mh Raisi wetu Jakaya Kikwete ni kweli amepata kikombe cha BABU?
N a vipi kuhusu makamba
mwenye picha jamani atujuze
kwani tumeone viongozi wa baraza la mawazili karibu wote wamegonga kikombe cha BABU,sasa swali langu ni kuhusu Mh Raisi wetu Jakaya Kikwete ni kweli amepata kikombe cha BABU?
N a vipi kuhusu makamba
mwenye picha jamani atujuze