Na mimi nipo JF?

Baba Matatizo

JF-Expert Member
May 5, 2011
334
64
Hodi jaman wana JF!Siamin kama na mimi nipo JF KABISAAA!Naahid kuwa mwungwana!Natumaini mtaniunga mkono!JF OYEEEE!
 
Jf juuuuuuuuu!
Karibu sana baba matatizo. Agiza kinywaji akifika Katavi atalipa.
 
Karibu Baba Matatizo! Karibu ukaribie ila usije na huyo mwanao humu ataleta tafrani si haba.
 
Karibu sana baba matatizo, umepata castle ngapi? Mwambie muhudumu aniletee bili!
 
Karibu sana
avatar38162_20.gif
chatu dume unaogopesha wageni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom