Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Hodi jaman wana JF!Siamin kama na mimi nipo JF KABISAAA!Naahid kuwa mwungwana!Natumaini mtaniunga mkono!JF OYEEEE!
ASANTE sana!Nimeshaagiza castle barid!KATAVI namsubiri kwa hamu sana alipe deni!Jf juuuuuuuuu!
Karibu sana baba matatizo. Agiza kinywaji akifika Katavi atalipa.
hakuna wasi!matatizo hana tafran ni jina la urisi toka kwa babu mzaa babake!hivyo mwenye matatizo ni babu na sio matatizo!Karibu Baba Matatizo! Karibu ukaribie ila usije na huyo mwanao humu ataleta tafrani si haba.
Karibu sana baba matatizo, umepata castle ngapi? Mwambie muhudumu aniletee bili!
Nimepatta castle 31,Usishangae toka jana USIKU nakula bia bila kukuona!Karibu sana baba matatizo, umepata castle ngapi? Mwambie muhudumu aniletee bili!
chatu dume unaogopesha wageni!Karibu sana
Juu ya nani?, heri mimi niko juu ya JF.Jf juuuuuuuuu!
Karibu sana baba matatizo. Agiza kinywaji akifika Katavi atalipa.