mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,266
- 44,797
Kufanya mapenzi ni dawa ya corona
Babu kwani kupumua tunatumia hivyo viungo?Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanyabiashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema
Hapo sawa Mkuu angalau ka picha kamehusikaHao wanatumika hata kwa wenye ndoa zao thabiti kabisa. Ni sawa na bia. Ya nyumbani haina raha kama ya bar ingawa bei na ladha ni zile zile. Kinacho mater ni mahali unapoigongea mkuuu.View attachment 1719925
na tabata, kila baada ya nyumba moja lodgeKumbe Sinza imelaanika kitambo
Kumbuka ile kitu ni sense to touch....utajikuta umegusa tu.Wale Nini sasa, Mbona tunapanda madaladala nao, sokoni nao, Cha msingi wavae mask wakiwa kazini
Unless otherwisewatengeneze barakoa ya mwili mzima.Kumbuka ile kitu ni sense to touch....utajikuta umegusa tu.
nchi gani hii?Uchumi wa Pattaya kwa kiasi kikubwa unatokana na prostitution. Naambatanisha picha ya fukwe ya Pattaya na maisha ya usiku katika eneo hilo.
Ikumbukwe pataya umalaya ni sawa na kanuni ya Pie katika kutafuta eneo la duara yaaani 3.14, au 22/7.
karibu Pattaya.
mbona hawana chura ?Uchumi wa Pattaya kwa kiasi kikubwa unatokana na prostitution. Naambatanisha picha ya fukwe ya Pattaya na maisha ya usiku katika eneo hilo.
Ikumbukwe pataya umalaya ni sawa na kanuni ya Pie katika kutafuta eneo la duara yaaani 3.14, au 22/7.
karibu Pattaya.
mbona hawana chura ?
Hapo sasa..mbona hawana chura ?
Kule unaambukizwa Korona na UKIMWINi harakati tu katika maisha hata sokoni tunaambukizana Sana tu
Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanyabiashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema
Hile biashara ni kongwe duniani haitakaa isimame kwa chochote
Labda maana hata mitume yote imekuja imeikuta pamoja na kutoa mafundisho mpka imeondoka hii biashara imeachaUpo sahihi kabisa mkuu...
Gharika ya Nuhu, Mapigo 7 ya Mungu kule Misri, moto wa sodoma na gomora, smallpox pandemic, bubonic plague, black death, swine flu, spanish flu, ebola, Zika, Dengue, HIV, hepatitis, cholera epidemic... kama hayo yote hayakuweza kuisimamisha hii biashara, corona ni mdudu gani? Hapo labda ashuke Mesaya mwenyewe ndio hii biashara itasimama!