Na hivi ndivyo Unavyotangaza Nchi Yako.....

Na hivi ndivyo Unavyotangaza Nchi Yako.....

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,400
Kama vile wa-Korea kipindi kilichopita Mashabiki wa Japan walibaki Uwanjani kusafisha Uwanja.

Hizi ndio Sifa zinazotakiwa, Sio Uchumi wa Kati wala Sijui tuna Nuclear Ngapi.

japan.jpg
 
Vijembe viiingi kapicha kamoja tu. Usijifananishe na wajapan wala wakorea mkuu. Mweupe ni mweupe tu. Walipigwa bomu la hiroshima ila bado wakafanikiwa kuurudisha uchumi wao sawa,soka la moto. Sie vita vya majimaji mpaka leo tunasuntana eti kupenda vya dezo.
 
Vya dezo tena jamani, jana tu tumeambiwa tunapenda vya bure na mama yetu, leo tena tunaambiwa na numbisa twapenda vya dezo!
 
Kama vile wa-Korea kipindi kilichopita Mashabiki wa Japan walibaki Uwanjani kusafisha Uwanja...... Hizi ndio Sifa zinazotakiwa..., Sio Uchumi wa Kati wala Sijui tuna Nuclear Ngapi...
Japani suala la usafi ni la lazima, kila sehemu unayoitumia ni lazima iwe safi, wao imo kwenye katiba ya nchi.
 
Back
Top Bottom