Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Hebu tuchukulie kwamba umeoa au umeolewa au pia uko kwenye mahusiano,halafu unamkuta mpenzi/mke/mumeo anajiridhisha kimapenzi mwenyewe,kwa wanaume wanasema kujichua kwa wanawake sikumbuki hii sijui inatamkwaje..Sasa ndo umemfuma anafanya haivyo,Je utachukia?Kama ni ndio kwanini?Atakua amekusaliti?Kama ni ndio,amekusaliti na nani?Kama hautachukia kwanini?