Na final CRDB YANGA wasikubali uchezwe kwa mkapa ule uwanja sio siooo

Na final CRDB YANGA wasikubali uchezwe kwa mkapa ule uwanja sio siooo

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Kama CAF
Wamesimama MSIMAMO WAOO

NASHAURI YANGA msikubali kuchezea kwa mkapa final ya crdb

Huo UWANJA HAUKO salama kwa mechi kabisa

Yaani wamehangaika gafla KUREKEBISHA kisa final

Huko nyuma walikuwa wapi na kama walikuwa na uwezo WA KUREKEBISHA mapema kwa nn wasubiri CAF ichague AMAN ndio waanze kukimbixana na waturukiii

Berkane

"Hatuchezii NG'O KWA MKAPA**
 
Acha ujinga we mzee
New AMAN 🏟️
💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔🤣💔💔🤣🤣🤣🤣🤣💔🤣💔🤣💔🤣💔🤣💔🤣💔🤣🤣🤣🤣Love u
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Hata TFF na Bodi ya ligi wanaweza wasipange fainali ya CRDB uwanja wa Benjamini kwani miaka iliyopita huwa wanapanga mikoani
 
Back
Top Bottom