Mzunguko wa maisha...

Mzunguko wa maisha...

Ninachopendea waTanzania ni kula
Unazaliwa-tunakula
Unaenda shule-tunakula
Unamaliza shule tunakula
Unapata kazi tunakula
Unakufa tunakula
Tukikukumbuka tu--tunakula
What a nice cycle.
...msosi sana...
 
Napendekeza kama nafasi inaruhusu mtu azae mapema na awe na mke wake tokea miaka ya 17,18,19 huko,akishafikia umri wa miaka kadhaa anahangaika na mambo mengine tu ya maisha.
 
Napendekeza kama nafasi inaruhusu mtu azae mapema na awe na mke wake tokea miaka ya 17,18,19 huko,akishafikia umri wa miaka kadhaa anahangaika na mambo mengine tu ya maisha.
Peak ya fertility ni 18- 25 kwa mwanamke...ila currently wengi wanazaa 28+....na bado uwezo wa kulea kimo hakuna...wanafanya just kutimiza cycle
 
Back
Top Bottom