No commentKwanini
Haya. Mwambie aje tuongee pombe na bange alovuta likiisha kichwani, maana vinamfanya aone kila kitu kiko kinyumenyume! Mbona yeye ameondoka Afrika?Personally. I agree with him.
( Nawajua nitaambiwa nawaonea wivu Diaspora. Kwa waafrika wengi kwenda kuishi Marekani au Ulaya is an accomplishment)
Video here 👇👇👇👇👇👇👇👇
Mange Kimambi anaishi Marekani Ila hela zake anatengeneza Afrika.🙂 TL ameishi kote lakini inaelekea mwishowe yuko tayari kuwa mfungwa nchini mwake wakati wengine wakihamishia mapesa huko. Kuna la kujifunza
Life is tough in Europe and USA mkuu.Haya. Mwambie aje tuongee pombe na bange alovuta likiisha kichwani, maana vinamfanya aone kilakitu kiko kinyume!
Hadi utakaposema ingekuwa Abduli ametekwa na kutobolewa macho mama yake angejisikiaje ndio utajua raha ya kukimbilia Ulaya!Life is tough in Europe and USA mkuu.
In Tanzania life is easy. Unaweza kuishi vizuri kabisa hata kama huna kazi. But never in Europe or USA
Haijalishi ila Inategemeana Na Mtu.Personally. I agree with him.
( Nawajua nitaambiwa nawaonea wivu Diaspora. Kwa waafrika wengi kwenda kuishi Marekani au Ulaya is an accomplishment)
Video here 👇👇👇👇👇👇👇👇
Big up Sana. There is no need to go and live in a strange land.Mpaka nifanikiwe na kuvumbua fursa hapa mkoani kwangu ndio nitajua kwamba nimetumia akili yangu ,siwezi kuacha ardhi ya nyumbani ...Tanga Tanzania nakupenda kuliko kitu chochote ..
Una akili za kitoto sana.Haya. Mwambie aje tuongee pombe na bange alovuta likiisha kichwani, maana vinamfanya aone kila kitu kiko kinyumenyume!
Ulaya hakukatiki maji wala watu hawajazani mwendokasi, anataka kutuambia nini? Tusiende Ulaya tuendelee kupigwa na Polisi tukienda kanisani? Life is a bitch in Africa, trust me!
Nyumbu hawawezi kukuelewa ila sisi tulioishi huko tumekuelewa!!Life is tough in Europe and USA mkuu.
In Tanzania life is easy. Unaweza kuishi vizuri kabisa hata kama huna kazi. But never in Europe or USA