Mzungu mmoja alipita na nyani wake karibu na muuza ndizi,nyani akapora ndizi akaila. Muuzaji akamind,mzungu akasema unamind nini wakati kala ndugu yako! Mzungu akaondoka. Aliporudi akakuta nyani wake kafa,akauliza kwanini mmemuua nyani wangu?Muuzaji akajibu hayakuhusu haya ni mambo ya kifamilia...!