Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
beberu linalokusaidia nguo za mitumba baada ya miaka 60 ya uhuruMzungu ni beberu
Wachina na warabu sio weupe wala hawapo walau warusi wairani.Watu wa race ya caucasian ndiyo tunaita wazungu. Ndiyo maana race zingine na weupe tunawaita kivyao kama wachina au waarabu.
Mtu kutokea Afrika anaitwa muafrika,Mzungu ni nani?
Kuna jamaa kanambia Mzungu ni mtu yoyote aliyezaliwa bara la Ulaya. Basi mimi nikamuuliza je Pogba ni mzungu kanibishia? Anadai Pigba ni mweusi hivyo hawezi kuwa Mzungu.
Nikamwambia jamaa amezaliwa Ulaya? Kwanini asiwe mzungu?
Basi tumebishana bila majibu, naombeni mnijuze, Mzungu ni mtu wa namna gani?
AfricansMtu kutokea Afrika anaitwa muafrika,
Mtu kutokea China anaitwa mchina,
Mtu kutokea India anaitwa mhindi,
Kwa nini mtu kutokea ulaya asiitwe mulaya?