Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,215
- 14,809
Hivi wamisheni mnaowaita Wakoloni wasingeanzisha Simba na Yanga leo hii mngeshangilia nini? Timu zenu mlizoanzisha kama lipuli, maji maji & Co. hazijulikani hata zilipo, halafu kuna watu wanabeza Ukristu na mchango wa Kanisa tanzania.
kabla ya Kanisa kuingia tanzania kulikuwa hakuna timu ya mpira …
kabla ya Kanisa kuingia tanzania kulikuwa hakuna timu ya mpira …