Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Mdogo wangu Preta, kama wakumbuka hii skendo kwa kuwepo enzi hizo, basi kumbe nawe wa long time, umri wako zaidi ya Uhuru wa Tanganyika!!!!!
ni kweli mpendwa.....uhuru ukija mimi nilikuwa nauona....enzi hizo viongozi walikuwa wanawaheshimu wananchi na kuwatumikia.....