Mzumbe Secondary Alumni



Hongereni sana wakuu,
nitupieni kapicha kamoja ka hapo bwenini kwangu( mkwawa no.1) kijiji
 
Hongereni sana wakuu,
nitupieni kapicha kamoja ka hapo bwenini kwangu( mkwawa no.1) kijiji

Kijiji chako Mkwawa kiko kwenye hali mbaya.

Tunaunganisha nguvu za wazumbe wote tuboreshe mazingira.

Karibu tuijenge Mzumbe yetu.
Tujivunie Mzumbe kwa vitendo...
 

Asante sana kwa kututia moyo na kuendeleza uzalendo kwa vitendo...
 
Interior Before and After...
 

Attachments

  • 1433250731730.jpg
    27 KB · Views: 323
  • 1433250750715.jpg
    50.4 KB · Views: 321
I miss my School.

Awali ya yote naomba nijikumbushe mambo machache.

Nimepamiss Mirambo3, njia ya kuelekea kwenye chapati.
Ha haaaa.

Nimemiss debe la M.Z.U.D.A.X.
Mzukila na Mzumoro mimi zilikuwa hazinifurahishi kabisa.

Mi nilikuwa mdau wa Mzudax. Kama kuna mtu alikuwa mdau wa Mzudax naomba nimjue.
 
dah bg up sana..bweni langu lilikuwa karume no. 6 kpnd hcho njawa kashka gobole vp mpo tuliolmalza "A level 2010 ''?
 

teh teh teh...yule dada mwenye ulemavu wa mguu? mnankumbusha mbali sana
 
teh teh teh...yule dada mwenye ulemavu wa mguu? mnankumbusha mbali sana


Dàaaaaah!

Hapo umenena mkuu, kwa kweli kila mtu na starehe yake!!!!
Kumbe na wewe ulikuwepo?

Yule dada alinigusa sana, ni mlemavu lakini aliingia disco, nilimuonea huruma sana ile siku, lakini nilifurahi sana kumuona MwanaMzumbe mmoja akaenda kucheza nae, na akawa anampa company uzuri tu, kwa kweli ilileta faraja sana.

Wale mabinti wa Dax walikuwa W.A.N.A.N.G.'A.A.A.A, Kilakala hawaoni ndani.
Social Prefect wa Dax utampenda, yule mdada, alikuwa anasema Mzumbe Piga Keleleeeeeeeeeeeeeeeh!
Basi Wazumbe utaskia, Oooooyoooooooooooh, Ilikuwa ni patashika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…