Mzumbe Sec. Alumni
Member
- May 14, 2015
- 22
- 5
Ee bwana elezea kwa ukubwa zaidi lengo la michango hiyo na wewe ni nani na vipi tutakuamini. waliosoma Mzumbe wengi ni watu werevu na wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda na wapo kwenye nafasi kubwa kubwa. kwa hali hii sio rahisi kuchangia hata wenye nia kama mimi kwani hakuna security yoyote. tafadhali tatua maswala haya kwanza kabla ya kuendelea