- Thread starter
- #41
Huo upumbavu wa Mchonga ulichangia kuitia nchi umasikini, leo hii wahanga wanaolaoamika umasiki wa nchi na hali duni za maisha moja ya sababu ni kushadadia mambo usiyo na faida nayo.
Tafiti zimeonyesha tuna vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote wa maana kwa taifa hili -- JPM.