Kwa jeshi gani alilonalo huyo Kagame na wahuni hao wa M23? acha ushabiki wa kijingaRwanda inaongozwa na Paul Kagame. Huyu Paul Kagame ni Putin wa EAC, anaogopwa na kila kiongozi wa ukanda huu wa Afrika.
Nani atamgusa Kagame?
Huyu mama....kwa jeshi gani? Waliuaws na M23 enzi za JK kama kuku.
Ruto....kwa jeshi gani? Walipukutishwa na wasomali (Alshabab) miaka michache iliyopita
Museveni huyu ni swahiba wa Kagame. Lkn hata hivyo hafui dafu kwa Rwanda. Burundi na na vinchi vingine wala siviongelei