Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,423
What you look for is monie, you think yiu can earn a life and be content just by dating men?, i dont think.Mie siwezi date mwanaume mwenye pesa za mawazo
What you look for is monie, you think yiu can earn a life and be content just by dating men?, i dont think.Mie siwezi date mwanaume mwenye pesa za mawazo
Unasema?tatizo vijana wanataka k alafu hawataki kugharamikia. wewe kama mwanaume lazima ukubali kuwa papuchi zote unazoona mtaani zipo for sale...u just have to reach the asking price.
mpotezee tuh,utageuzwa ATM,hakuna kitu apo.
Mhhh jaman dia yani ndo umenileta kuniposti huku?kisa nimekuomba buku 9?mwanaume huna dogo hadi hili unalileta JF... Basi baki na hela yako sitaki tena, watatunza wanaume wenzako.
tatizo vijana wanataka k alafu hawataki kugharamikia. wewe kama mwanaume lazima ukubali kuwa papuchi zote unazoona mtaani zipo for sale...u just have to reach the asking price.
Labda nikuulize swali wewe, una uwezo wa kutoa hela hata kama hujui zinakwenda kutumika wapi?
:llama::llama:Kwani huyo unayempa buku9 humtumii?bora ku2mika kwa faida
Mie siwezi date mwanaume mwenye pesa za mawazo
Mzinga wa buku tisa? Si hela ya mlo mmoja kwa siku hiyo jamani ..... Khaa am speechles! Elfu tisa ni euro ? Usd? Au ni tsh kwanza? Hebu fafanua?
:llama::llama: