Mzinga!

Mzinga!

Kwani huyo unayempa buku9 humtumii?bora ku2mika kwa faida
Wenye pesa unaowaona wewe ndo wa maana wana vyombo vingine kwa maana hiyo hauko peke yako, so wewe ni chombo tu unatumika, HESHIMA YAKO iko wapi?
 
kabisa wajitume misinga siyo inshu!

Na kama mtu hata kama hatoi hela lkn siyo wa kumtema, siku nyingine huyo huyo unayemwona hana ishu kisa hajakupa hela na kumtosa leo hii akiwa "bharesa" mwingine utafanyaje? maisha haya mzunguko
 
Usikwepe majukumu mwanaume anasifiwa kwenda benki kuweka na kutoa pesa
na mimi siwezi date na mwamke mwenye mawazo ya kua golikipa nataka mtu wa kutafuta nae anisadie japo kwa mawazo basi hata tukija kuaachana tugawane mali kila mtu awe ameridhika. kama mwanamke unapenda pesa kila mwanaume mwenye pesa si atakua wako
 
Mwanaume akipata pesa anamtema manzi wake wa zamani na kutafuta matawi mengine so sioni logic ya kujipa tabu kumvumilia mtu atakayekuja kukutema akipata
Na kama mtu hata kama hatoi hela lkn siyo wa kumtema, siku nyingine huyo huyo unayemwona hana ishu kisa hajakupa hela na kumtosa leo hii akiwa "bharesa" mwingine utafanyaje? maisha haya mzunguko
 
bk 9 kitu gani, unamtumia tu,halafu mikausho mikali
 
Na kama mtu hata kama hatoi hela lkn siyo wa kumtema, siku nyingine huyo huyo unayemwona hana ishu kisa hajakupa hela na kumtosa leo hii akiwa "bharesa" mwingine utafanyaje? maisha haya mzunguko
Mzunguko kama Duara!
 
Mwanaume akipata pesa anamtema manzi wake wa zamani na kutafuta matawi mengine so sioni logic ya kujipa tabu kumvumilia mtu atakayekuja kukutema akipata

Basi wewe maisha yako ni wa kutemwa mpaka mwisho ndivyo ulivyojijengea na kujiwekea utaratibu huo, ndo maana nilisema mwanzoni kwamba unafanya kwa faida yako tu lkn huna faida kwa wengine...!
 
Usikwepe majukumu mwanaume anasifiwa kwenda benki kuweka na kutoa pesa

sijakataa kuacha hela ya matumizi bali ninachokataa kugawa pesa kwa mtu ambaye una hisi atakuja kua ur wife lakini anataka hela ambazo yeye mwenyewe hataki kuzitolea ufafanuzi wa kina ukitoa kesho unasikia story binti anajifagilia yule sipendi wala nini namlia viela vyake tuuu
 
Faida anayopata si mgegedo ninaompa? Kama humhongi mpenzio anahongwa na wenzio kwa taarifa yako
Basi wewe maisha yako ni wa kutemwa mpaka mwisho ndivyo ulivyojijengea na kujiwekea utaratibu huo, ndo maana nilisema mwanzoni kwamba unafanya kwa faida yako tu lkn huna faida kwa wengine...!
 
Faida anayopata si mgegedo ninaompa? Kama humhongi mpenzio anahongwa na wenzio kwa taarifa yako

Mgegedo wa kufukuza kuku mpaka unakamata kuku na kutolea mayonase kwa huyo ni mtamu kuliko mgegedo wa kuhonga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom