Mzimu wa Nyerere: Gesi ya Mtwara ni tatizo dogo ebu fuata maagizo yafuatayo

twinaomukama

Member
Nov 30, 2012
8
6
[h=5]mi nasema tu kulingana na maoni yangu juu ya mambo matatu yanayosemwa semwa sana tanzania
1.kuhusu raslimali za nchi yetu hii ya tanzania, napozungumzia raslimali namaanisha yale mambo muhimu tuliyo pewa na mwenyez mungu bure kabisa bila malipo, kama vile mafuta, makaa ya mawe, maji, na madini mengine mengi, ikitokea madini yakapatikana tanzania ni ya watanzania tu! lakini yakipatikana katika mkoa mmoja wapo kati ya mikoa ya tanzania si ya watu wa mkoa ule tu! narudia hiyo ikitokea raslimali ikapatikana tanzania ni ya watanzania tu peke yao si ya wakenya wala wamarekani bali ni ya watanzania, mfano madini yakipatikana dodoma hayo siyo ya watu wadodoma tu bali ni ya watanzania wote, isipokuwa inabidi katika faida na mapato yanayotokana na hiyo raslimali inabidi kwanza wanufaike watu wa sehem yalikopatikana na hii sheria ingewekwa kwenye katiba ieleweke hivyo alafu mapato mengine yaende sehem nyingine za nchi, NADHAN SUALA LA GESI MTWARA NI HATARI SANA TUKIANZA KULUMBANA HATA GESI HAIJACHIMBWA HAPA INABIDI VIONGOZI KUWEKA SIASA NA USHABIKI PEMBENI NA KUKEMEA UPOTOSHAJI WA AINA YEYOTE ILE,:attention:[/h]
 
Nimengojea kusikia jambo la pili na la tatu hola! Vipi ulipitiwa au ndiyo mambo ya usongo?
mi nasema tu kulingana na maoni yangu juu ya mambo matatu yanayosemwa semwa sana tanzania
1.kuhusu raslimali za nchi yetu hii ya tanzania, napozungumzia raslimali namaanisha yale mambo muhimu tuliyo pewa na mwenyez mungu bure kabisa bila malipo, kama vile mafuta, makaa ya mawe, maji, na madini mengine mengi, ikitokea madini yakapatikana tanzania ni ya watanzania tu! lakini yakipatikana katika mkoa mmoja wapo kati ya mikoa ya tanzania si ya watu wa mkoa ule tu! narudia hiyo ikitokea raslimali ikapatikana tanzania ni ya watanzania tu peke yao si ya wakenya wala wamarekani bali ni ya watanzania, mfano madini yakipatikana dodoma hayo siyo ya watu wadodoma tu bali ni ya watanzania wote, isipokuwa inabidi katika faida na mapato yanayotokana na hiyo raslimali inabidi kwanza wanufaike watu wa sehem yalikopatikana na hii sheria ingewekwa kwenye katiba ieleweke hivyo alafu mapato mengine yaende sehem nyingine za nchi, NADHAN SUALA LA GESI MTWARA NI HATARI SANA TUKIANZA KULUMBANA HATA GESI HAIJACHIMBWA HAPA INABIDI VIONGOZI KUWEKA SIASA NA USHABIKI PEMBENI NA KUKEMEA UPOTOSHAJI WA AINA YEYOTE ILE,:attention:
 
kwelii mkuu wee mbunifu kama yeye vile hahahah
WEWE JAMAA UNALOPOKA TUU HUJUI NINI MAANA YA UNEMPLOYMENT ! hujui kabisaa jinsi gani serikali ya nyerere ilivyoiponda mikoa ya kusini kuhusu kuwapa ajira. kumbuka huu mkoa wa mtwara ulitakiwa kujengwa kiwanda kikubwa sana cha mbolea ambacho kingekizi haja ya africa mashariki. lakini wajanja wachache wakateka ujenzi wa kiwanda huo na kuamua ujengwe mkoani Mbeya. Hivi wewe kwa nini hukulalamika kwa niaba ya mtwara? na mpaka sasa serikali imesitisha ujenzi wa kiwanda hicho, hao wajanja wanataka raisi akimaliza muda wake waanze kujenga kiwanda hicho mkoani mbeya, sasa ina maana mtwara wakazi wake hawataki ajira?mwaka 1978 wakati wa shereje za kitaifa za saba saba mkoa wa mbeya ulipewa viwanda tisa, Mbeya tex, zana za kilimo , maziwa, kiwanda cha majembe, saruji,mbalizi meat packers, wakajengewa benki kuu, wakajengewa chuo cha ufundi na sasa wanajengewa uwanja wa ndege, sasa ina maana mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara haina haja ya kupata jicho hilo la maendeleo ili mikoa yao nayo ionekane inajengeka? Ina maana viwanda vyote hivi kujengwa moani mbeya, mtwara lindi na Ruvuma wakazi wake hawana haja ya ajira?sasa mimi nakuambiaje, ikitokea mafuta yagunduliwe ziwa Nyassa, haya waliyoyafanya watu wa mtrwara ni pikiniki kwa yale yatakayofanywa na wangoni! Ole wenu! Ole wenu mumezidi kutufanya sisi watu wa kusini kuimba kwaya halafu ajira muwatengenezee watu wengine. huko ruvuma ndiko neno Mbwitu litajulikana nini maana yake!
 
Si Bunge linakutana?
Hii iwe ndiyo agenda number one. Lizungumzwe kwa kina na uwazi na kuwekewa utaratibu ili utaratibu wa hizi rasilimali ujulikane na namna ya kuzifahidi ujulikane kabla kila mkoa na wilaya haujazuka na kudai vyake.

Halafu jambo kubwa ni kuhakikisha kuwa wananchi tunachagua watu makini wenye maadili katika kutuwakilisha maana ukweli ni kwamba kama hatuaminiani hata kesho kiwanda na mitambo yote inaweza kuamriwa vijengwe Mtwara au katika mikoa ya kusini lakini bado kama viongozi si waaminifu watakula % kwa wajenzi; watakaoajiri watu katika hivyo viwanda nao wanaweza kula % na kuajiri rafiki zao au ndugu zao toka hata mikoa mingine ( au tunapanga kuorodhesha na makabila ya watumishi wanaotakiwa kuajiriwa?); na kali kuliko yote kama hatuaminiani hata atakayesema ni gesi kiasi gani imezalishwa anaweza kula % kubwa tu na kutueleza kuwa kilichozaliswa au kusafirishwa ni kidogo au tunapanga kijiji kizima kuwa tunaamka asubuhi na kusoma mita za mtambo mkuu wa kuzalisha gesi?

Msingi wa yote haya ni kuwa na watu waaminifu tunaowaamini. Na kwamba rasilimali zetu pamoja na kusaidia mahala zilipo ziendelee kusaidia Taifa lote kwa ujumla kwa utaratibu unaojulikana. Msisahahu kuwa tukipigana tu kwa ajili ya gesi basi kuna watakaofurahia sana na kupata faida zaidi hata ya ugunduzi wa gesi yenyewe!

Hili jambo linaweza kuongelewa vyema tu na chombo tulichokipa dhamana kuidhibiti Serikali na cha kuwasemea wananchi nacho ni Bunge!

Waziri Mkuu chukua hili na ulifanyie kazi maana kwa undani linahusu Wizara zote!
 
Halafu kuna watu humu JF ni kama joka la mdimu wameng'ang'ani gesi iende Dar wakati ikibaki mtwara au ikiende Dar wala haiwasaidii kitu. We mtu yuko Namanyere huko kwa watani zangu, eti naye adai kwamba gesi iende Dar..!! Angalau basi adai iende namanyere ningemuelewa..!
 
Hivi hawa watu wa Kauma, Mnyamasi, Mwese, Kalema, Rwega kule Mpanda na wao wanataka gesi itoko Mtwara kupitia Ruvuma ili viwanda vya kule vipate nishati. Hivi Dar kuna chimbwa dhahabu au shaba? Mtwara komaeni hakuna gesi kutoka.
 
WEWE JAMAA UNALOPOKA TUU HUJUI NINI MAANA YA UNEMPLOYMENT ! hujui kabisaa jinsi gani serikali ya nyerere ilivyoiponda mikoa ya kusini kuhusu kuwapa ajira. kumbuka huu mkoa wa mtwara ulitakiwa kujengwa kiwanda kikubwa sana cha mbolea ambacho kingekizi haja ya africa mashariki. lakini wajanja wachache wakateka ujenzi wa kiwanda huo na kuamua ujengwe mkoani Mbeya. Hivi wewe kwa nini hukulalamika kwa niaba ya mtwara? na mpaka sasa serikali imesitisha ujenzi wa kiwanda hicho, hao wajanja wanataka raisi akimaliza muda wake waanze kujenga kiwanda hicho mkoani mbeya, sasa ina maana mtwara wakazi wake hawataki ajira?mwaka 1978 wakati wa shereje za kitaifa za saba saba mkoa wa mbeya ulipewa viwanda tisa, Mbeya tex, zana za kilimo , maziwa, kiwanda cha majembe, saruji,mbalizi meat packers, wakajengewa benki kuu, wakajengewa chuo cha ufundi na sasa wanajengewa uwanja wa ndege, sasa ina maana mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara haina haja ya kupata jicho hilo la maendeleo ili mikoa yao nayo ionekane inajengeka? Ina maana viwanda vyote hivi kujengwa moani mbeya, mtwara lindi na Ruvuma wakazi wake hawana haja ya ajira?sasa mimi nakuambiaje, ikitokea mafuta yagunduliwe ziwa Nyassa, haya waliyoyafanya watu wa mtrwara ni pikiniki kwa yale yatakayofanywa na wangoni! Ole wenu! Ole wenu mumezidi kutufanya sisi watu wa kusini kuimba kwaya halafu ajira muwatengenezee watu wengine. huko ruvuma ndiko neno Mbwitu litajulikana nini maana yake!

Na nyie mmezidi uvivu, huko kwenu mtu hata kashamba ka robo heka hana! Ardhi nzuri hamlimi! Umwyi wenu pia uliwaponza sasa hivi pambaneni na Kikwete, mwalimu hatawasaidia kitu.
 
Jamani, hoja ya wana Mtwara sio kuwa gesi isisafirishwe kwenda Dar, na huu ndio upotoshwaji mkubwa wa serikali iliyopo madarakani. Hoja yao ni kuwa gesi hiyo isafirishwe ikiwa imeshachakatwa, yaani kiwanda cha kusafisha gesi kijengwe Mtwara ambapo kwa mtazamo wangu ni sahihi kabisa.
 
Jamani, hoja ya wana Mtwara sio kuwa gesi isisafirishwe kwenda Dar, na huu ndio upotoshwaji mkubwa wa serikali iliyopo madarakani. Hoja yao ni kuwa gesi hiyo isafirishwe ikiwa imeshachakatwa, yaani kiwanda cha kusafisha gesi kijengwe Mtwara ambapo kwa mtazamo wangu ni sahihi kabisa.

Serikali kwa makusudi inajifanya haielewi hoja ya wana-mtwara.
Hivi hii gesi ingegunduliwa Moshi(Kilimanjaro) wangejenga bomba ipelekwe Dar?
 
WEWE JAMAA UNALOPOKA TUU HUJUI NINI MAANA YA UNEMPLOYMENT ! hujui kabisaa jinsi gani serikali ya nyerere ilivyoiponda mikoa ya kusini kuhusu kuwapa ajira. kumbuka huu mkoa wa mtwara ulitakiwa kujengwa kiwanda kikubwa sana cha mbolea ambacho kingekizi haja ya africa mashariki. lakini wajanja wachache wakateka ujenzi wa kiwanda huo na kuamua ujengwe mkoani Mbeya. Hivi wewe kwa nini hukulalamika kwa niaba ya mtwara? na mpaka sasa serikali imesitisha ujenzi wa kiwanda hicho, hao wajanja wanataka raisi akimaliza muda wake waanze kujenga kiwanda hicho mkoani mbeya, sasa ina maana mtwara wakazi wake hawataki ajira?mwaka 1978 wakati wa shereje za kitaifa za saba saba mkoa wa mbeya ulipewa viwanda tisa, Mbeya tex, zana za kilimo , maziwa, kiwanda cha majembe, saruji,mbalizi meat packers, wakajengewa benki kuu, wakajengewa chuo cha ufundi na sasa wanajengewa uwanja wa ndege, sasa ina maana mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara haina haja ya kupata jicho hilo la maendeleo ili mikoa yao nayo ionekane inajengeka? Ina maana viwanda vyote hivi kujengwa moani mbeya, mtwara lindi na Ruvuma wakazi wake hawana haja ya ajira?sasa mimi nakuambiaje, ikitokea mafuta yagunduliwe ziwa Nyassa, haya waliyoyafanya watu wa mtrwara ni pikiniki kwa yale yatakayofanywa na wangoni! Ole wenu! Ole wenu mumezidi kutufanya sisi watu wa kusini kuimba kwaya halafu ajira muwatengenezee watu wengine. huko ruvuma ndiko neno Mbwitu litajulikana nini maana yake!

wee ni mdogo wake oscar kambona nini mbona umeguswa sana na kuiponda sera ya mwalimu? aaaaa nimekumbuka ulidhurumiwa magari wakati wa utaifishaji eee poleee sasa nadhan umwendee kingunge akupatie:A S angry:
 
Si Bunge linakutana?
Hii iwe ndiyo agenda number one. Lizungumzwe kwa kina na uwazi na kuwekewa utaratibu ili utaratibu wa hizi rasilimali ujulikane na namna ya kuzifahidi ujulikane kabla kila mkoa na wilaya haujazuka na kudai vyake.

Halafu jambo kubwa ni kuhakikisha kuwa wananchi tunachagua watu makini wenye maadili katika kutuwakilisha maana ukweli ni kwamba kama hatuaminiani hata kesho kiwanda na mitambo yote inaweza kuamriwa vijengwe Mtwara au katika mikoa ya kusini lakini bado kama viongozi si waaminifu watakula % kwa wajenzi; watakaoajiri watu katika hivyo viwanda nao wanaweza kula % na kuajiri rafiki zao au ndugu zao toka hata mikoa mingine ( au tunapanga kuorodhesha na makabila ya watumishi wanaotakiwa kuajiriwa?); na kali kuliko yote kama hatuaminiani hata atakayesema ni gesi kiasi gani imezalishwa anaweza kula % kubwa tu na kutueleza kuwa kilichozaliswa au kusafirishwa ni kidogo au tunapanga kijiji kizima kuwa tunaamka asubuhi na kusoma mita za mtambo mkuu wa kuzalisha gesi?

Msingi wa yote haya ni kuwa na watu waaminifu tunaowaamini. Na kwamba rasilimali zetu pamoja na kusaidia mahala zilipo ziendelee kusaidia Taifa lote kwa ujumla kwa utaratibu unaojulikana. Msisahahu kuwa tukipigana tu kwa ajili ya gesi basi kuna watakaofurahia sana na kupata faida zaidi hata ya ugunduzi wa gesi yenyewe!

Hili jambo linaweza kuongelewa vyema tu na chombo tulichokipa dhamana kuidhibiti Serikali na cha kuwasemea wananchi nacho ni Bunge!

Waziri Mkuu chukua hili na ulifanyie kazi maana kwa undani linahusu Wizara zote!

kweli wee ni jembe nadhan hii ingesomwa mbele ya bunge:becky:
 
WEWE JAMAA UNALOPOKA TUU HUJUI NINI MAANA YA UNEMPLOYMENT ! hujui kabisaa jinsi gani serikali ya nyerere ilivyoiponda mikoa ya kusini kuhusu kuwapa ajira. kumbuka huu mkoa wa mtwara ulitakiwa kujengwa kiwanda kikubwa sana cha mbolea ambacho kingekizi haja ya africa mashariki. lakini wajanja wachache wakateka ujenzi wa kiwanda huo na kuamua ujengwe mkoani Mbeya. Hivi wewe kwa nini hukulalamika kwa niaba ya mtwara? na mpaka sasa serikali imesitisha ujenzi wa kiwanda hicho, hao wajanja wanataka raisi akimaliza muda wake waanze kujenga kiwanda hicho mkoani mbeya, sasa ina maana mtwara wakazi wake hawataki ajira?mwaka 1978 wakati wa shereje za kitaifa za saba saba mkoa wa mbeya ulipewa viwanda tisa, Mbeya tex, zana za kilimo , maziwa, kiwanda cha majembe, saruji,mbalizi meat packers, wakajengewa benki kuu, wakajengewa chuo cha ufundi na sasa wanajengewa uwanja wa ndege, sasa ina maana mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara haina haja ya kupata jicho hilo la maendeleo ili mikoa yao nayo ionekane inajengeka? Ina maana viwanda vyote hivi kujengwa moani mbeya, mtwara lindi na Ruvuma wakazi wake hawana haja ya ajira?sasa mimi nakuambiaje, ikitokea mafuta yagunduliwe ziwa Nyassa, haya waliyoyafanya watu wa mtrwara ni pikiniki kwa yale yatakayofanywa na wangoni! Ole wenu! Ole wenu mumezidi kutufanya sisi watu wa kusini kuimba kwaya halafu ajira muwatengenezee watu wengine. huko ruvuma ndiko neno Mbwitu litajulikana nini maana yake!

sijui nikujibu nini? Hivi nyie mnao ng'ang'ania gesi yenu mna mitambo ya kuichimba. Hivi mkiachiwa hiyo gesi itawasaidia nini. Kuna mikoa iko nyuma Kigoma mojwapo wale jamaa wachapakazi huwezi kusikia wakilalamika. Fanyeni kazi basi siyo kutwa kucheza ngoma na kucheza bao. Hata viwanda vikijengwa wenye taaluma ndio watakao ajiliwa. Unemployment , unemployment kwani iko Mtwara tu, mpaka mnatuboa sasa . Tukiwaendekeza nyie mwisho mtataka nchi ya Mtwara, macho yenu nyooooo.
 
Nilidhani ungekuwa na nguvu za hoja kuhusu hoja hasa za watu wa mikoa ya kusini, hususan watu wa Mkoa wa Mtwara. Ulichofanya ni kujizungusha tu kwa maneno pasipo kueleza hoja ya msingi. Basi kama haupo kwenye maeneo ya tukio ila ulipenda kuwa wakwanza kuongelea jambo hili tukuambie kitu! Watu wa Mtwara si kwamba hawana utaifa au hawajui uzalendo maana yake ni nini. Wanachopigania ni haki yao ya msingi ya kunufaika na uwepo wa laslimali hii katika eneo lao. Hauitaji kuwa na kiwango kikubwa sana cha elimu kuweza kubaini ukweli kwamba gesi hii ikiruhusiwa tu kuondoka basi ahadi zote za kujengwa viwanda imekwisha. Nitoe mfano mdogo wa watu wa Kilwa ambako serikali iliahidi kujenga kiwanda cha mbolea. Kwa masikitiko makubwa kiwanda hili hajajengwa hili hali gesi inasafiri kwenda Dar. Mbaya zaidi ni kuwa Mrahaba waliotakiwa kupata unasuasua. Fikiria kama si dhuluma ni nini?

Kwa hiyo basi wakati tunayaangalia haya ya Mtwara na gesi tuangalie wapi serikali ya nchi hii imejikwaa. Usahaulifu wa kutimiza ahadi, kusahau kuendeleza maeneo yaliyopo pembezoni, kauli za kejeli (mfano kuwaona watu wa maeneo ya kusini hawajasoma) huchangia kukoleza moto katika tanuru la fikra za watu waliosahaulika kwa miaka 51 ya uhuru wa nchi yao. Angalia kauli mbiu yao hii "GESI KWANZA VYAMA BAADAYE". Wameweza kufanya hivo hadi sasa, mvua ikiwanyeshea. Kwa namna yoyote ile, hakuna haja hata mara moja ya kupotosha hoja msingi ya watu hawa.Wanahita kuendelezwa sasa. Gesi na uendelezaji wa maeneo gesi inakotoka kwanza! usambazaji kuelekea Dar baadaye!
 
Jamani, hoja ya wana Mtwara sio kuwa gesi isisafirishwe kwenda Dar, na huu ndio upotoshwaji mkubwa wa serikali iliyopo madarakani. Hoja yao ni kuwa gesi hiyo isafirishwe ikiwa imeshachakatwa, yaani kiwanda cha kusafisha gesi kijengwe Mtwara ambapo kwa mtazamo wangu ni sahihi kabisa.

Gas kwa vyovyote itakavyokuwa suala la kwenda dar ni lazima iende kwa bomba yaani pipeline hiyo ndio njia salama na ya kisasa. Watu wa mtwara waache ushamba waelewe hicho kitu
Kuwa gas inasafirishwa kwa mabomba
 
Lazima serikali yetu ikubali kuwa tulipo na tunapokwenda watu wanazidi kujitambua , na wanahitaji kutambuliwa ..'
 
Back
Top Bottom