bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,814
Ni nakala zaidi ya laki tatu mzigo upo unatembea ambae ameshaipakua aitupie hapa waliitoa mapema Sana ila jamaa wakawafanyia umafia wa DDOS attack Kama ilivyotokea kwa jf kipindi kile hatimaye wabobezi wa WikiLeaks wameshinda Na mzigo upo hewani.
Mbivu na mbichi kujulikana.
Mbivu na mbichi kujulikana.