Nahitaj. ushauri yenu, kama mtu anaytaka kuleta mzigo kadogo za vitu mbali mbali za kompyuta na electronics. Una safirishaje ? Kwa njia ipi kama sio kontena nzima hayfiki ?
zipo kampuni zinazoweza kukusaidia kuuleta kutoka hapo uliponunua mpaka kwako,hapa Tanzania,gharama unalipia hapa Tanzania,kama utapenda kupata maelezo ya kina tuma email: kkmarketing61@yahoo.com, tutakuunganisha na baadhi ya hizo kampuni.
zipo kampuni zinazoweza kukusaidia kuuleta kutoka hapo uliponunua mpaka kwako,hapa Tanzania,gharama unalipia hapa Tanzania,kama utapenda kupata maelezo ya kina tuma email: kkmarketing61@yahoo.com, tutakuunganisha na baadhi ya hizo kampuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.