Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Msitafute mchawiiiii
1. Aliikuwa ni Rais kiongozi wa nchi
Kumbukeni anaongoza kila mtu anapokasirika hata mbingu inahuzunika
Tuliona kirahisi alipoumia na kusema ile timu ni kichwa cha mwendawazimu mkakaa kimya
Yale maneno yanafanya kazi, yanaumba kwa stars yetu soln ya kutoka ni kwenda kuomba radhi kwa mzee wetu akafute lile neno la kichwa cha mwendawazimu
Else kila sehenu mtakuwa kichwa cha mwendawazimu hamuamuamini
Subirien mechi na Zambia
Stars anakula 3
Mechi na Congo stars anakula π π π π π π π π π π π π π π π π π π π niko pale kwa mangii wakalaaaa
1. Aliikuwa ni Rais kiongozi wa nchi
Kumbukeni anaongoza kila mtu anapokasirika hata mbingu inahuzunika
Tuliona kirahisi alipoumia na kusema ile timu ni kichwa cha mwendawazimu mkakaa kimya
Yale maneno yanafanya kazi, yanaumba kwa stars yetu soln ya kutoka ni kwenda kuomba radhi kwa mzee wetu akafute lile neno la kichwa cha mwendawazimu
Else kila sehenu mtakuwa kichwa cha mwendawazimu hamuamuamini
Subirien mechi na Zambia
Stars anakula 3
Mechi na Congo stars anakula π π π π π π π π π π π π π π π π π π π niko pale kwa mangii wakalaaaa