Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #21
Hata alipo bwagwa na Bulaya alikuwa na baraka za viongozi wake
Haahhaha mtihani wa kwanza itakuwa kuvuka kiunzi cha kura za maoni kwenye chama chake. Maana kuna mjaluo mmoja ambaye ni mpambe wake (jina kapuni ) hujimasibu kuwa wasira katumwa na wakubwa aende kugombe jimboni humo.