Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Wana jamvi naomba kuuliza mzee wetu Stephen Wasira yupo wapi mzee aliye itabiria cdm kufutika ktk siasa za tanzania mwaka 2014?
Nasikia baada ya kugaragazwa pale bunda aliamua kuwa mfugaji maarufu wa mbuzi huku akiisikia CHADEMA inavyochanja mbunga!
Amakweli dunia hii ni uwanja wa fujo.
Nasikia baada ya kugaragazwa pale bunda aliamua kuwa mfugaji maarufu wa mbuzi huku akiisikia CHADEMA inavyochanja mbunga!
Amakweli dunia hii ni uwanja wa fujo.