Mzee wa Upako: CCM wanamuogopa Lowassa

Mzee wa Upako: CCM wanamuogopa Lowassa

Huyo kwisha kazi na wala haogopewi na watala. Ila. Nahisi huko aliko ndo wanamwogopa zaidi mana kila asemalo halipingwi na kesha jihakikishia kuwa mgombea 2020. Poleni VVU
Ni lini Chadema/Ukawa wametangaza mgombea urais wa mwaka 2020? Ndiyo maana mnaambiwa mnamwogopa Lowassa!
 
Wakati wa kampeni na sasahivi Sumaye kila akisimama lazima aweweseke juu ya maguful na CCM, ata mbowe mwenyewe lazima aitaje sana CCM na magufuli, Je hii ni ishara kuwa wanamwogopa Maguful na CCM kama hoja ndio hiyo kua kumuongelea wamemuogopa? Maana aslimia 99 huwa n kuiongelea CCM au viongoz wa CCM licha ya mazuri inayotenda serikali hii... Kumbe ukiwa nyumbu ata kufikiri vzr huwezi.
Sio kweli, Sumaye na opposition kwa ujumla wanaongea masuala, hawaongelei watu. jaribu kuona tofauti!
 
Hivi unaweza mwogopa mtu alishindwa kilinda kura na kuja na swaga za kuibiwa??
Aliyekuwa anaongea dakika 5 kwenye kampeni na kuwaambia wananchi wakasone hotuba kwenye website
Daaah nacheka tu mi sitaki ugonvi!!
 
Kama CCM wangekuwa wanamuogopa Lowassa unadhani wangetumia kalamu ya Bic kulikata jina lake?

Jaribuni basi hata kutumia common sense au ndio yale yale kuwa common sense is not common!

Ni sawa na kufahamu haya ni mavi lakini baada ya kumuona fulani anakula basi na wewe unaanza kula badala ya kujiuliza kwanza kwa nini anakula mavi.
Unafahamu mwalimu asiyejiamini yaani "mweupe" anavyokuwa mkali (illogically) kwa wanafunzi wake?
 
Ukitumwa viongozi wa dini unaweza kumpeleka Lusekelo?
 
Unakuwa maarufu kuliko chama alafu unakatwa kirahisi. By then kama alikuwa maarufu kuliko chama alivyohama kwa nini hakushinda urais na umaarufu wake? Unyumbu ni shiiida
Andika tu unavyoweza lakini 'mtuhumiwa 'huyu anatisha.
 
Hongera mzee wa upako kwa kutokua mnafiki ktk mitazamo yako.

Pongezi kwa kutambua J.K alikua kiongozi mwenye Utu.

Tunasuburi matunda anayoyapanda Magufuli yakomae tuyaone.
 
Hivi unaweza mwogopa mtu alishindwa kilinda kura na kuja na swaga za kuibiwa??
Aliyekuwa anaongea dakika 5 kwenye kampeni na kuwaambia wananchi wakasone hotuba kwenye website
Daaah nacheka tu mi sitaki ugonvi!!
Kasikilize upya hotuba za viongozi wako wa Lumumba. Mkutano wenu ulikuwa na agenda moja tu. Kukabidhi kijiti. Wangefata hivyo mkutano huo ungekwisha kabla kabisa ya lunch.
 
Nenda taratibu. Kuna kushinda na kuna kutangazwa kushinda, hivyo la kwamba hakushinda kiuhalisia mimi na wewe hatujui! Kwanini usisimame katika hoja ya msingi, kwamba kama CCM hakimhofii Lowassa kwanini kinatumia muda mrefu katika mkutano muhimu kama ule kumjadili Lowassa badala ya kujadili mambo yao?

Swali la kukatwa akiwa ccm mbona umelikwepa? Mtu maarufu kuliko chama unaanza kumkata?
 
Akiongea jijini Dar es Salaam jana, kiongozi huyo wa kiroho alisema kwamba CCM na viongozi wake wanamuogopa sana Lowassa ndiyo maana jina la Lowassa halikauki vinywani mwa wanaCCM. Umaarufu wa Lowassa umekuwa likichanua kwa kasi kubwa tangu alipohamia CHADEMA.

Vyanzo: Mwananchi, Tanzania Daima.

MAONI YANGU
Huwa nawakubali sana kiongozi huyu wa kidini pamoja na Askofu Gwajima. Sio wanafiki kama wachungaji wengine wachumia tumbo.
 
Unakuwa maarufu kuliko chama alafu unakatwa kirahisi. By then kama alikuwa maarufu kuliko chama alivyohama kwa nini hakushinda urais na umaarufu wake? Unyumbu ni shiiida
Hebu tafakari kwanza kikao cha juu kama NEC kumuimbia mwenyekiti wao "tunaimani na Lowassa" inaleta maana gani?
Ni wazi kama jina lake lingeletwa kujadiliwa lazima angepita. Imeshindikana kwa vile mwenyekiti alifanya uhuni na kutoleta majina asiyotaka
 
Ameingia kwenye historia ya dunia.....kutaka kuvunja kabisa chama cha mang'ombe sababu alikuwa maarufu kuliko chama!! Hawatamsahau maishani mwao!!

Bahati yake rais Magufuli hakuwa mwenyekiti wa ccm wakati wa walipomwimbia mtu wao. Yeye na watu wake wasingetufautisha mchana na usiku. Hata sasa hawako salama na heri wamfuate huko aliko.
 
Ameingia kwenye historia ya dunia.....kutaka kuvunja kabisa chama cha mang'ombe sababu alikuwa maarufu kuliko chama!! Hawatamsahau maishani mwao!!
Ni kweli kabisa CCM haiwezi kumsahau Lowassa. Ni kama vile Mungu na malaika hawawezi kumsahau Ibilisi aliyetaka kuchukua utawala wa Mungu
 
Asaema uchaguzi umekwisha.

Awashangaa CCM kumpiga vijembe.

Asema wanamuogopa na ni tishio kwa CCM

Chanzo: TanzaniaDaima

Nashukuru viongozi wa dini wameanza kusema ukweli na kuwatolea uvivu CCM na hii ni aibu kubwa kwao.

Nashukuru pia habari hii imeripotiwa na magazeti mengi tu(imepewa uzito wa kutosha na magazeti mengi).
Mzee wa upako na Askofu Gwajima nawakubali sana...sio wanafiki hata kidogo.
 
Unakuwa maarufu kuliko chama alafu unakatwa kirahisi. By then kama alikuwa maarufu kuliko chama alivyohama kwa nini hakushinda urais na umaarufu wake? Unyumbu ni shiiida
Kama CCM hawamgwayi Edo kwanini hawaishi kumtajataja? Kwanini wanaweweseka kila siku?
 
Back
Top Bottom