Ni lini Chadema/Ukawa wametangaza mgombea urais wa mwaka 2020? Ndiyo maana mnaambiwa mnamwogopa Lowassa!Huyo kwisha kazi na wala haogopewi na watala. Ila. Nahisi huko aliko ndo wanamwogopa zaidi mana kila asemalo halipingwi na kesha jihakikishia kuwa mgombea 2020. Poleni VVU