jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Kama CCM wangekuwa wanamuogopa Lowassa unadhani wangetumia kalamu ya Bic kulikata jina lake?
Jaribuni basi hata kutumia common sense au ndio yale yale kuwa common sense is not common!
Ni sawa na kufahamu haya ni mavi lakini baada ya kumuona fulani anakula basi na wewe unaanza kula badala ya kujiuliza kwanza kwa nini anakula mavi.
....kama mngekuwa mnajiamini kweli,mngemkata halafu mumsahau, but mmemkata ila bado mnamkumbuka kila dakika, acha kujiliwaza kijana,Lowassa bado anawatetemesha mpk leo!