Anatumia haki yake ya kikatiba ya kuwa huru kutoa maoni yake, na yeye akiwa mtanzania halisi. Anayeona anajipendekeza kwa mtu basi yeye ni dikteta anayetaka watu wasiwe huru kutoa maoni yao unless watoa maoni yanayompendeza yeye huyo dikteta na chama chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.