Namshangaa Mzee wa Upako kushindwa kuelewa CCM kujifananisha na NYOKA. Names have spirits. Kama mtu akiitwa NYOKA kweli atakuwa na TABIA ya Nyoka. Na mara nyingi MTU ANAPOONGEA anajaribu ku-express/reveal kile kilicho ndani ya NAFSI yake!!!Kwa hiyo KIWETE aliposema kuwa WANATAKA KUJIVUA GAMBA KAMA NYOKA he was correct by 100 pc. Nani asiyejua kuwa CCM NI NYOKA?
I believe Mzee wa upako anajua characteristics za nyoka:
CCM wana hizo tabia kwa ujumla wake. Kama ni sumu walishawatemea Wa-tz wote,kama ni mate walishatutemea sana,kama ni UONGO CCM wamelidanganya taifa hili for almost 50 years(tangu enzi za TANU). Sasa ndo wanajivua gamba ili WAPATE KASI ZAIDI YA KUNG'ATA ZAIDI NA SUMU YAO KALI YA UFISADI,wapate kasi zaidi ya KUWADANGANYA Wadanganyika.
- Sumu kali ya kuua palepale anapokugonga.
- Mate yake ni sumu kali akikutemea.
- Uongo au udanganyifu(Biblical serpent).
- Kujivua gamba kila baada ya muda ili kujirudisha upya.
- Kutambaa kwa tumbo au kuruka
- n.k
Tangu enzi za Biblia Nyoka ni adui wa bin-Adamu. Mungu alimwagiza mwana-Adamu popote atakapomwona NYOKA AMPONDE KICHWA. Sumu ya nyoka siku zote iko kwenye KICHWA CHA NYOKA. Ukishapiponda KICHWA cha nyoka umeshammaliza.
Watanzania tunatakiwa kujua KICHWA CHA NYOKA CCM ni kipi ili TUPAPIGE HAPO HAPO ILI KUMMALIZA asije akaendelea kutugonga!!!!
Kama unaona kujivua gamba ni lugha ya picha basi tafsiri nyingine ni kuwa tumuogope sumu yake ni kali mno!kuvua gamba ni lugha ya picha inayomaanisha kuanza upya kwa jambo na wala haihitaji uwe mchungaji au msomi uliebobea kuelewa nini chamaanishwa labda kama mtu anataka kupotosha makusudi.
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.
Uongo wao uko wapi?si wanatoa ytafsiri ya kujivua gamba kwa nyoka na maana halisi ya tabia za nyoka?Jamani CCM imewakosea nini? yaani nyie kila kitu kwa CCM ni kibaya? mbona watu wa JF hamna shukurani? Au ndio ule msemo wa tenda wema nenda zako wala usingoje shukurani unatimia?
kuvua gamba ni lugha ya picha inayomaanisha kuanza upya kwa jambo na wala haihitaji uwe mchungaji au msomi uliebobea kuelewa nini chamaanishwa labda kama mtu anataka kupotosha makusudi.
Jamani CCM imewakosea nini? yaani nyie kila kitu kwa CCM ni kibaya? mbona watu wa JF hamna shukurani? Au ndio ule msemo wa tenda wema nenda zako wala usingoje shukurani unatimia?