The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.
source Mtanzania.
kwakuwa CCM wamedhihirisha kwamba wao ni nyoka. tuchukue hatua madhubuti za kumuuwa nyoka huyu ili tuondokane nae. nyoka ni nyoka tuu hata akijivua gamba hawezi badilika na kuwa sii nyoka kwani sumu yake ni ile ile.
kwakuwa CCM wamedhihirisha kwamba wao ni nyoka. tuchukue hatua madhubuti za kumuuwa nyoka huyu ili tuondokane nae. nyoka ni nyoka tuu hata akijivua gamba hawezi badilika na kuwa sii nyoka kwani sumu yake ni ile ile.
Ni kweli Kujivua gamba ni lugha ya picha inayoomaanisha kuanza upya kwa jambo. Kama hivyo ndiyo basi CCM wameanza upya yale yote waliyokuwa wanayafanya kama vile ufisadi tena kwa nguvu na ari Kubwa. Kuanza Upya hakuna maana ya kubadilika. Kuvua gamba ina maana ya kuanza upya mambo yale yale uliyokuwa ukifanya. Tofauti ni Nguvu unayoongeza!
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.
kuvua gamba ni lugha ya picha inayomaanisha kuanza upya kwa jambo na wala haihitaji uwe mchungaji au msomi uliebobea kuelewa nini chamaanishwa labda kama mtu anataka kupotosha makusudi.
kuvua gamba ni lugha ya picha inayomaanisha kuanza upya kwa jambo na wala haihitaji uwe mchungaji au msomi uliebobea kuelewa nini chamaanishwa labda kama mtu anataka kupotosha makusudi.
Kujivua gamba(Kuanza upya)_Tuangalie sifa za viumbe wenye tabia hii :_
KONOKONO-SNAIL...Kiumbe huyu gamba lake humsaidia kujilinda dhidi ya maadui vilevile kuzalisha vilainisho vitakavyomfanya aweze kujongea na ikitokea gamba kupasuka au kuvuliwa kabisa itampunguzia uwezo ake wa kukabiliana na mazingira na hivyo kumpunguzia uwezo wa kuishi.
KOBE-TORTOISE.....Kiumbe huyu Gamba lake humsaidia kujihifadhi,Kujilinda na maadui pia kumsaidia kutembea na ikitokea gamba lake kupasuka au kuondolewa hatakua na uwezo wa kupambana na mazingira husika na hivyo nae inaweza kumharakishia kifo.
SNAKE-NYOKA ...Kiumbe huyu hua na desturi ya kujivua gamba pale apatwapo na jeraha kubwa ilikumsaidia uponyaji wa jeraha lake kwa haraka au afikishapo umri mkubwa au pale anapo ona nguvu zake za awali zimepungua na baada ya kufanya hivyo hurudiwa na hali yake ya awali kwa maana ya Mbio zaidi,Ujanja zaidi na Sumu kali zaidi.
Swali langu ni hili _CCM inajifananisha na kiumbe gani kati ya hawa?
Kama ni KOBE au Konokono basi Imekula kwao ,
Au wao ni NYOKA :shetani:na wamedhamilia watumalize kabisa?
umesahau panzi na mende. nao hujivua magamba.
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.
kuvua gamba ni lugha ya picha inayomaanisha kuanza upya kwa jambo na wala haihitaji uwe mchungaji au msomi uliebobea kuelewa nini chamaanishwa labda kama mtu anataka kupotosha makusudi.
ahoji pia kama kweli aliyeshauri kutumia kauli-mbiu hiyo, kama ana akili nzuri. how come CCM kujifananisha na nyoka?
source Mtanzania.