mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,966
Salamu ziwafikie.
Nawapenda ndugu zangu.
Lililonileta hapa Leo.
Naomba ushauri juu ya hili.... Ni biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa fedha ya kitanzania yenye thamani ya shilingi milioni moja tuu (yaani namaanisha 1,000,000/=)
Najua Ni pesa ndogo kwa baadhi ya watu, lakini kwa upande wangu nimeitafuta kwa mbilinge Sana mpaka kufikia hapo.
Eneo.
Mimi nipo mkoani (MBEYA) ki maisha.
- Ushauri wenu unahitajika
- Mapovu pia nitayapokea na kuyafanyia kazi.
Asante
Namalizia tena kwa kutoa shukrani za dhati.
Nawapenda ndugu zangu.
Lililonileta hapa Leo.
Naomba ushauri juu ya hili.... Ni biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa fedha ya kitanzania yenye thamani ya shilingi milioni moja tuu (yaani namaanisha 1,000,000/=)
Najua Ni pesa ndogo kwa baadhi ya watu, lakini kwa upande wangu nimeitafuta kwa mbilinge Sana mpaka kufikia hapo.
Eneo.
Mimi nipo mkoani (MBEYA) ki maisha.
- Ushauri wenu unahitajika
- Mapovu pia nitayapokea na kuyafanyia kazi.
Asante
Namalizia tena kwa kutoa shukrani za dhati.