Mzee wa chabo...

Mzee wa chabo...

WA KISHUA

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
365
Reaction score
130
Habari Za Masiku WanaJamvi Wenzangu, Hope Wote Mpo Salama Salmini, Kuna Kitu Kinanitatiza Sana Hapa Mtaani Kwangu, Kuna Jamaa M1 Kwa Makadirio anaumri usiopungua miaka 38 , anaMke Pamoja Na Watoto Watatu, Wa mwisho Yupo Darasa La Saba na wakwanza anamaliza form four this year, ameoa mwanamke wa kichaga ambae ni goli kipa na huyo jamaa ambae ni jirani yangu yeye alikuwa dereva wa daladala kipindi cha nyuma ila kwa sasa ni dalali wa malori ya mchanga, huyu jamaa anaTABIA moja ambayo inanikera hata nikikutana nae natamani hata nimtemee mate....,Cha Kwanza Anachelewa Kulala alafu inapofika Mida Ya Usiku huwa Anadhurura kwenye Nyumba za w2 na kuanza kula chabo wakati watu wamelala, na ameshaonekana mara nyingi akiwa anapiga CHABO , dizaini w2 wanamkimbza na kumpotezea cz ni mtu wa kitaa, Swali langu ni hili, Hivi Hizi Tabia Ni za Kurithi Au Ni LAANA ameachiwa kutoka kwa wazazi wake? kwani nikiangalia naona hakuna anachokosa kama MKE halali wa Ndoa Anae, na familia pia, sio siri huyu Jirani yangu ananitia kichefuchefu , Kuna siku aliwahi kuniomba LIFT nikampotezea hiyo ni kutokana na mamabo yake anayofanya ya kitoto.. Nawasilish










KUWA MTANZANIA NI MOJA YA MAAJABU YA DUNIA.
 
Sidhani hata kama yeye mwenyewe anapenda kufanya hivyo,it's addiction.ni kitu ambacho alikianza muda mrefu pengine akiwa bado mdogo kiumri na sasa kimegeuka kuwa addiction kwake.Anahitaji kufanyiwa counselling tu na wataalamu namini atabadilika tu na kuacha.
 
Chabo apige mwingine ukasirike wewe!!!!!
unaishi mtaa gani make mi pia napenda sana........
 
hahaahahaaaa nipo Kahama Rd pale Masaki Mtaa M1 unaitwa Kiswele st. karibu Sana Evelyn Salt .
 
Mshushieni kipigo cha mbwa mwizi siku moja, ataacha tu hiyo tabia.
 
Kuna wengine ni tatizo kubwa yaani ili aweze kufanya mechi na Mkewe lazima apige LIVE CHABO Ndo mzuka umpande. By the way Live Chabo ni taamu kuliko. . . !
 
hata mimi napenda chabo sana aisee sijui ni kwanini kwa kweli.hiyo mitaa yenu kuna mambo mazuri sana ndio sababu wanataka wayaone laivu
 
Kila mtu na starehe yake bana. Kama unabisha iga uone ati. Ila siku nyingine usimnyime lift

Habari Za Masiku WanaJamvi Wenzangu, Hope Wote Mpo Salama Salmini, Kuna Kitu Kinanitatiza Sana Hapa Mtaani Kwangu, Kuna Jamaa M1 Kwa Makadirio anaumri usiopungua miaka 38 , anaMke Pamoja Na Watoto Watatu, Wa mwisho Yupo Darasa La Saba na wakwanza anamaliza form four this year, ameoa mwanamke wa kichaga ambae ni goli kipa na huyo jamaa ambae ni jirani yangu yeye alikuwa dereva wa daladala kipindi cha nyuma ila kwa sasa ni dalali wa malori ya mchanga, huyu jamaa anaTABIA moja ambayo inanikera hata nikikutana nae natamani hata nimtemee mate....,Cha Kwanza Anachelewa Kulala alafu inapofika Mida Ya Usiku huwa Anadhurura kwenye Nyumba za w2 na kuanza kula chabo wakati watu wamelala, na ameshaonekana mara nyingi akiwa anapiga CHABO , dizaini w2 wanamkimbza na kumpotezea cz ni mtu wa kitaa, Swali langu ni hili, Hivi Hizi Tabia Ni za Kurithi Au Ni LAANA ameachiwa kutoka kwa wazazi wake? kwani nikiangalia naona hakuna anachokosa kama MKE halali wa Ndoa Anae, na familia pia, sio siri huyu Jirani yangu ananitia kichefuchefu , Kuna siku aliwahi kuniomba LIFT nikampotezea hiyo ni kutokana na mamabo yake anayofanya ya kitoto.. Nawasilish












KUWA MTANZANIA NI MOJA YA MAAJABU YA DUNIA.
 
mbona simpo tu...mfanyieni surprise ya maji ya moto usawa wa uso! miongoni mwa nyumba zenu hapo kitaa lazima kuna nyumba ambayo anapendelea zaidi kupiga chabo especially nyumba ambayo malavidavi ni 'so ambient'! basi hiyo nyumba ndo iaandae hiyo surprise!
 
Dah tatizo la chabo mkuu ni addiction mbaya sana na mtu akianza haachi.............
 
hata mimi napenda chabo sana aisee sijui ni kwanini kwa kweli.hiyo mitaa yenu kuna mambo mazuri sana ndio sababu wanataka wayaone laivu

Kumbe na we wapenda??? teh....
ni starehe kama starehe zingine tu!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom