Mzee wa chabo...

Mzee wa chabo...

Hahahahaaaaa!!! Dah!!! Madhara ya kukulia kwenye nyumba za kota hayo!!!! Nakumbuka miaka ya tisini kuanzia tulipofika darasa la nne hadi la saba ilikuwa ndiyo tabia yetu sana pale Line polisi Moshi!!!!

Tukishakula msosi wa usiku kuna eneo tulikuwa tunakutana tunapiga story mpaka mida ya saa nne za usiku tunaanza kuzunguka kota moja hadi nyingine kupiga chabo!!! Tulikuwa tunakuwa kundi la watoto wengi then tunagawanyika, badae tunakutana kama kupeana ripoti ya tulichoona!!!

Ni mchezo mchafu na wa aibu sitaki hata kuukumbuka, ila kuna vinara ambao kama kuacha waache miaka ya karibuni!!! Nadhani mchezo uliwaingia damuni
 
watu wa dizain hizi wakati mwingine sio chabo ila ni tabia za wizi ' kuna jamaa mmoja pale kigogo dar apumzike sehemu mbaya kwenye banda la nguruwe alikuwa na tabia ya aina hii mwanzo watu walifikiri ni chabo ila wakaja baini kwamba jamaa ni kibaka alianza kwa kutanua nyavu za madirisha ya gest na baadae wanaingiza kile kitu kama neti ya kuchezea mpira wa kikapu wenyewe wanaita air jodan anavuta kama ni simu iko mezania inadumbukizwa mule anavutia dirishani anachukua na suruali kama umetundika mlangoni kuweni nae makini kwa nn asiwe anaangalia x kama ni ufundi?
 
watu wa dizain hizi wakati mwingine sio chabo ila ni tabia za wizi ' kuna jamaa mmoja pale kigogo dar apumzike sehemu mbaya kwenye banda la nguruwe alikuwa na tabia ya aina hii mwanzo watu walifikiri ni chabo ila wakaja baini kwamba jamaa ni kibaka alianza kwa kutanua nyavu za madirisha ya gest na baadae wanaingiza kile kitu kama neti ya kuchezea mpira wa kikapu wenyewe wanaita air jodan anavuta kama ni simu iko mezania inadumbukizwa mule anavutia dirishani anachukua na suruali kama umetundika mlangoni kuweni nae makini kwa nn asiwe anaangalia x kama ni ufundi?

X sio kitu, mambo yote live bana.....chabo ina ladha yake!!!!!!!!
 
he needs psychotherapy bcoz hiyo ni sexual disorder inamsumbua. Hata mkimmwagia maji ya moto usoni akipona atarudia tuu.
 
hata mi huwa napiga chabo ila mwanamke awe na Mata**ko makubwa ndo inanoga zaid
 
Habari Za Masiku WanaJamvi Wenzangu, Hope Wote Mpo Salama Salmini, Kuna Kitu Kinanitatiza Sana Hapa Mtaani Kwangu, Kuna Jamaa M1 Kwa Makadirio anaumri usiopungua miaka 38 , anaMke Pamoja Na Watoto Watatu, Wa mwisho Yupo Darasa La Saba na wakwanza anamaliza form four this year, ameoa mwanamke wa kichaga ambae ni goli kipa na huyo jamaa ambae ni jirani yangu yeye alikuwa dereva wa daladala kipindi cha nyuma ila kwa sasa ni dalali wa malori ya mchanga, huyu jamaa anaTABIA moja ambayo inanikera hata nikikutana nae natamani hata nimtemee mate....,Cha Kwanza Anachelewa Kulala alafu inapofika Mida Ya Usiku huwa Anadhurura kwenye Nyumba za w2 na kuanza kula chabo wakati watu wamelala, na ameshaonekana mara nyingi akiwa anapiga CHABO , dizaini w2 wanamkimbza na kumpotezea cz ni mtu wa kitaa, Swali langu ni hili, Hivi Hizi Tabia Ni za Kurithi Au Ni LAANA ameachiwa kutoka kwa wazazi wake? kwani nikiangalia naona hakuna anachokosa kama MKE halali wa Ndoa Anae, na familia pia, sio siri huyu Jirani yangu ananitia kichefuchefu , Kuna siku aliwahi kuniomba LIFT nikampotezea hiyo ni kutokana na mamabo yake anayofanya ya kitoto.. Nawasilish










KUWA MTANZANIA NI MOJA YA MAAJABU YA DUNIA.

Koma kuwaita watu GOLIKIPA.. Tena Koma kabisaaaa.. Wewe Kama mkeo mnatok.. Ah niachie hapo nsijepigwaban
 
Back
Top Bottom