...mungu ampe pumziko la amani mzalendo wa taifa letu...! nakumbuka (ingawa sina uhakika kama alikuwa "akizua") namna "Chavda wa zama za lyatonga", alivyotoboaga siri ati alijificha nyumbani kwa marehemu pale alipohukumiwa kuwa P.I NA IDARA YA Uhamiaji, mpaka uamuzi ulipobadilishwa kwa kushinda rufani ktk suala hilo...RIP mzee Apiyo!
Ndugu zangu
Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.
Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.
Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.
Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.
haya fananisheni na waliomfuata!
- paul rupia
- marten lumbanga
- philemon luhanjo
- ombeni sefue
Ndugu zangu
Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.
Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.
Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.
Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.
Updates: as at 11th June 2013 at 11.00 PM
Unless kama kutakuwa na mabadiliko, status iko hivi:
- Death Certificate itatolewa kesho Wednesday 12th June 2013
- Mwili utawasili Alhamis Mchana na SAA
- Ijumaa itakuwa shughuli ya kuuaga mwili wake nyumbani kwake Sitakishari
Kulikuwa na madai ya Mzee Apiyo kutofautiana na Mwinyi mwaka hasa kuhusu teuzi mbalimbali alizokuwa akizifanya Mwinyi ambapo marehemu Mzee alikuwa anawasiliana na Mwalimu kabla ya uteuzi kuwa rasmi. Wapo waliodai kuwa hata Mwinyi alifikia kususa Ikulu na kurudi Zanzibar mpaka marehemu Mzee Thabit Kombo na Nyerere walipoingilia kati na Mzee Apiyo kustaafu rasmi.......in came Paul Rupia
Machache kuhusu Marehemu Timothy Apiyo