Mzee Timothy Apiyo Afariki Dunia

Jul 14, 2008
1,820
1,031





Ndugu zangu

Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.

Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.

Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.

Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa.

Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.

Updates: as at 11th June 2013 at 11.00 PM

Unless kama kutakuwa na mabadiliko, status iko hivi:


  • Death Certificate itatolewa kesho Wednesday 12th June 2013
  • Mwili utawasili Alhamis Mchana na SAA
  • Ijumaa itakuwa shughuli ya kuuaga mwili wake nyumbani kwake Sitakishari

Update 2: 13th June 2013 at 12.00 Midnight


  • Kutokana na kukosa nfasi katika ndege ya Alhamis, sas mwili utawasili na ndege ya Ijumaa usiku SAA
  • Mwili utapokelewa na viongozi wa Serikali na Wanandugu
  • Mwili utalala nyumbani Sitakishari
  • Jumamosi asubuhi saa 4 kutakuwa na Ibada ya kumwaga marehemu na kutoa heshima za mwisho
  • Mchana mwili utasafirishwa kwa ndege kwenda Rorya Musoma ukiambatana na wanafamilia tisa
  • Ndugu jamaa na marafiki wengine 50 wataondoka na basi la JWTZ siku ya ijumaa alfajiri
  • Mzee Apiyo atapumzishwa siku ya Jumapili.

Update 3: 14th June 2013



  1. Mwili utawasili leo saa moja jioni
  2. Utapelekwa nyumbani Sitakishari
  3. Kesho Jumamosi saa 2 last respect nyumbani kwake
  4. baada ya hapo utapelekwa karimjee Hall kwa last respect ya kitaifa. Public.
  5. Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwa ndege kwende Musoma kwa maziko siku ya Jumapili.
 
Machache kuhusu Marehemu Timothy Apiyo

 
Last time nilisikia huyu mzee analalamika kutelekezwa na serikali
maisha yalikuwa magumu mno kwake...
The Boss, hicho ni kipindi cha nyuma sana. Serikali miaka mingi imempatia gari na msaidizi wa kudumu na kumsaidia katika matibabu. Hata gharama za matibabu ni serikali imekuwa ikimpatia. Last year or so alipewa gari nyingine mpya Discovery 4.

Kama mapungufu yapo ni ya kawaida.
 
Last edited by a moderator:
RIP Mzee Apiyo. Hawa ndio watu waliofanya kazi kwa uaminifu wa hali ya juu katika nchi hii. Mwalimu Nyerere alikuwa anamuamini sana Mzee huyu. Kwa sasa kuwapata watu kama Mzee Apiyo, ni ndoto.

Tiba
 

Nimefurahi na kufarijika kusikia serikali ilikuwa inamjali. He deserved it.

Tiba
 


So sad a remaining example of patriotic honesty in this nation has left us. May this quiet, soft spoken man rest in peace! We will miss you honest builder of our nation. Rest in Peace Mzee Apiyo.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…